Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Browsing all 28159 articles
Browse latest View live
↧

Myanmar wapiga kura

Raia wa Myanmar wanapiga kura zao katika uchaguzi katika uchaguzi unaochukuliwa kama kipimo kwa sifa za mageuzi nchini humo na unaoweza kupelekea kiongozi wa upinzani, Aung San Suu Kyi, kuingia bungeni.

View Article


Sanogo atoa amri

Kiongozi wa jeshi lililoasi na kupindua serikali nchini Mali, Kapteni Amadou Sanogo, ameliamrisha jeshi lake kutorefusha mapigano katika mji mmoja kaskazini mwa nchi hiyo

View Article


Senegal na Mali magazetini

Matokeo ya uchaguzi nchini Senegal,mapinduzi ya kijeshi nchini Mali,na juhudi za kupambana na maharamia wakisomali ni miongoni mwa mada katika magazeti ya ujerumani kuhusu bara la Afrika wiki hii.

View Article

Utawala wa kijeshi waahidi kukabidhi madaraka

Utawala wa kijeshi nchini Mali unaahidi kurejesha katiba ýa mwaka 1992 na taasisi za serikali ili kupata njia ya kufumbua mzozo nchini humo.

View Article

CCM yakiri kupoteza Arumeru Mashariki kwa CHADEMA

Tume ya Uchaguzi ya nchi hiyo ilimtangaza Joshua Nasari, mgombea ubunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA, kuwa mshindi katika uchaguzi mdogo uliofanyika jana Jumapili, akimshinda Sioi...

View Article


Dirk Niebel aitembelea Somalia

Waziri wa misaada ya maendeleo wa Ujerumani, Dirk Niebel, amefanya ziara ya ghafla nchini Somalia. Waziri huyo alifanya mazungumzo na serikali ya mpito ya Somalia pamoja na wawakilishi wa taasisi za...

View Article

Bayer Leverkusen yamtimua kocha Robin Dutt

Bayer Leverkusen ilimmwonyesha mlango kocha wake Robin Dutt baada ya timu yake kushindwa magoli mawili kwa sifuri na Freiburg huku beki wa zamani wa Liverpool Sammi Hyypia akiteuliwa kuwa kaimu Mkufunzi.

View Article

Utawala wa kijeshi Mali kuwekewa vikwazo

Mali inaweza kuwekewa vikwazo hii leo, baada ya viongozi wa kijeshi kutoonyesha ishara zozote kuheshimu ahadi walizotoa za kurejesha utawala wa kiraia nchini humo.

View Article


Merkel aitembelea Jamhuri ya Czech

Kansela Angela Merkel wa Ujerumani yuko ziarani Jamhuri ya Czech ambako atakutana na waziri mkuu wa nchi hiyo Petr Necas pamoja na rais Vaclav Klaus.

View Article


Syria yakubali muda wa kusimamisha ghasia

Syria imekubali tarehe 10 Aprili kama muda wa mwisho kuanza kutekeleza mpango wa amani uliopendekezwa na mjumbe wa pamoja wa Umoja wa Mataifa na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Kofi Annan.

View Article

Waasi wa Mali 'waanzisha' utawala wa Kiislamu

Wakati Jumuiya ya Uchumi kwa Nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS) ikiuwekea vikwazo utawala mpya wa kijeshi wa Mali, wapiganaji wa Kiislamu kaskazini mwa nchi hiyo wanajaribu kuanzisha utawala wa Kiislamu.

View Article

Mgomo wa Madaktari nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo

Mgomo wa madaktari katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo umeingia siku yake ya pili hii leo (03.04.2012)

View Article

Mapigano yaendelea Syria

Mapigano makali baina ya majeshi ya serikali na wapiganaji wa upande wa upinzani yameendelea leo nchini Syria, licha ya Rais Bashar al-Assad kukubali kutekeleza mpango wa amani uliopendekezwa na Kofi...

View Article


Wakaguzi kufika Syria katika masaa 48

Kikundi cha kwanza cha maafisa kutoka idara ya masuala ya kusimamia amani ya Umoja wa Mataifa kinatarajiwa kufika mjini Damascus katika muda wa masaa 48, kuandaa ujumbe utakaosimamia kusitishwa kwa...

View Article

Fununu za kukamatwa kwa mkuu wa zamani wa waasi wa CNDP nchini DRC

Hali ya wasiwasi imetanda katika baadhi ya wilaya za mkoa wa Kivu ya kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

View Article


Angola yatimiza muongo mmoja wa amani

Angola hii linatimiza muongo mmoja wa amani baada ya miaka 27 ya vita vya wenyewe kwa wenyewe, ikiwa na mafanikio makubwa ya kiuchumi lakini pakiwa na malalamiko katika demokrasia na haki za binadamu.

View Article

Wahariri wamtaka Merkel aseme wazi, katika Jamhuri ya Czech

Wahariri wa magazeti leo wanazungumzia juu ya ziara ya Kansela Merkel katika Jamhuri ya Czeck na juu ya mgogoro wa Syria.Wasema kusimamisha mapambano hukutaleta manufaa Syria hali Assad akiwa madarakani.

View Article


Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kutoa tamko kuhusu Mali

Shinikizo la kuwataka wanajeshi walioupindua utawala wa kidemokrasia nchini Mali kuachia madaraka limeongezeka baada ya mataifa yenye nguvu duniani kuzidisha makali ya vikwazo vya kiuchumi dhidi ya...

View Article

Washukiwa wa ugaidi kufikishwa mahakamani

Wizara ya ulinzi ya Marekani imepitisha uamuzi wa kuwafikisha mahakamani watu watano wanaoshukiwa kuwa ndio waliopanga mashambulizi ya kigaidi yaliofanyika Marekani Septemba 11, mwaka 2001.

View Article

Tanzania: Godbless Lema wa chama cha Chadema avuliwa Ubunge

Godbless Lema, mwanachama wa Chama Kikuu cha Upinzani nchini Tanzania sio mbunge tena. Asubuhi ya leo, Jaji Gabriel Rwakibarila ametoa hukumu na kumvua ubunge wa Jimbo la Arusha mjini.

View Article
Browsing all 28159 articles
Browse latest View live