Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Browsing all 28146 articles
Browse latest View live
↧

Ubelgiji yaombwa kumfikisha Habre mahakama ya kimataifa

Shirika linalopigania haki za binaadam pamoja na makundi ya walioteswa nchini Chad, wameomba aliyekuwa Rais wa Chad Dikteta Hissene Habre akamatwe na apelekwe kwenye mahakama ya kimataifa.

View Article


Juhudi za kumaliza umwagaji damu nchini Syria zashika kasi

Baadhi ya nchi za kiarabu na wanachama wa upande wa upinzani wanatoa mwito jeshi huru la Syria lipatiwe silaha .

View Article


Senegal: Vyama vya upinzani vyaunda muungano

Kampeni za duru ya pili ya uchaguzi wa Rais zimeanza nchini Senegal. Vyama vya upinzani vimejiunga pamoja katika juhudi za kumzuia Rais Abdulaye Wade kuchaguliwa tena kuiongoza nchi hiyo katika kipindi...

View Article

Bayern waonyesha makali yao tena, wapunguza pengo nyuma ya Dortmund

Bayern Munich walirejea baada ya kipigo cha Bayer Leverkusen kwa kuwasambaratisha Hoffenheim magoli saba kwa moja mwishoni mwa juma.

View Article

Marekani na Urusi zaligawa baraza la Usalama

Malumbano kati ya Marekani na Urusi kuhusu mgogoro wa Syria yamekwamisha juhudi za Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuafikiana juu ya hatua zinazopaswa kuchukuliwa kuumaliza mgogoro huo.

View Article


Mawaziri wa kanda ya Euro na sehemu ya pili ya mkopo kwa Ugiriki

Katika wakati ambapo mawaziri wa fedha wa kanda ya Euro wanajiandaa kuidhinisha fungu la pili la mkopo kwa Ugiriki,hofu zimeanza kuzagaa kuhusiana na nakisi ya bajeti ya Hispania

View Article

Ujumbe wa Afghanistan washambuliwa na Taliban

Wanamgambo wa Taliban wameufyatulia risasi ujumbe wa serikali ya Afghanistan uliokuwa ukizuru mojawapo ya vijiji viwili kusini mwa nchi hiyo ambako mwanajeshi wa Marekani anashukiwa kuwauwa raia 16 wa...

View Article

Wahariri wasifu ziara ya Merkel Afghanistan

Wahariri karibu wote wanazungumzia juu ya Afghanistan baada ya mkasa wa kuuliwa raia 16 na askari wa Marekani.Wahariri hao wanatilia maanani kuwa Merkel alienda Afghanistan licha ya mkasa huo kutokea.

View Article


ICC kutoa hukumu ya Lubanga

Mahakama ya ICC inasubiriwa kwa hamu hii Jumatano kutoa uamuzi wake wa kwanza juu ya kesi inayomuhusu Thomas Lubanga mtu anayetuhumiwa kuhusika katika kuwaingiza jeshini watoto.

View Article


Santorum ashinda majimbo ya Alabama na Mississippi

Rick Santorum amepata ushindi kwenye majimbo mawili ya kusini katika uchaguzi unaoendelea nchini Marekani, kumteua mtu atakayegombea kwa niaba ya chama cha Republican dhidi ya Rais Barack Obama mwezi...

View Article

Vikosi vya Assad vyaikamata Idlib

Huku Mjumbe wa Umoja wa Mataifa na Jumuiya ya Kiarabu kwa Syria, Kofi Annan, akipokea majibu ya Rais Bashar al-Assad, vikosi vya serikali vimelichukua jimbo la Idlib kutoka upinzani baada ya mapigano...

View Article

Mawaziri wa ulinzi wa Marekani, Ujerumani watembelea Afghanistan

Wakati hali ya mambo bado si nzuri nchini Afghanstan baada ya askari wa Marekani kuwaua raia 16 wa nchi hiyo, mawaziri wa ulinzi wa Ujerumani na Marekani wanatembelea nchi hiyo kwa lengo la kukutana na...

View Article

Yapasa kuingilia kati Syria,wasema wahariri

Wahariri wa magazeti leo wanatoa maoni juu ya Syria , mgogoro wa madeni barani Ulaya na juu ya hatua ya kusimamisha mapambano Mashariki ya Kati.

View Article


Banda wa Zambia kuzungumzia kufutwa kwa chama chake

Rais wa zamani wa Zambia, Rupiah Banda, anatarajiwa kukutana na waandishi habari mchana huu mjini Lusaka, siku moja baada ya chama chake cha Movement for Multiparty Democracy kufutwa na kupoteza nafasi...

View Article

Sasa baiolojia-anwai ndiyo njia ya mazingira

Kanuni kubwa ya mazingira ni kwamba pana uhusiano wa kutegemeana kat ya mwanadaamu na viumbe vilivyomzunguka, wakiwamo wanyama na mimea na kwamba ili mwanaadamu aendelee kubakia salama, lazima hivyo...

View Article


Uturuki yawekeza Somalia

Uturuki imekuwa nchi ya kwanza kupeleka ndege ya kimataifa ya kusafirisha abiria nchini Somalia katika kipindi cha miaka 20. Hivi sasa nchi hiyo ina mpango wa kuwekeza katika maeneo mbalimbali Somalia.

View Article

Magazeti ya Ujerumani juu ya Lubanga

Magazeti ya Ujerumani karibu yote yameizingatia kwa mapana na marefu hukumu iliyotolewa na Mahakama ya Kimataifa inayopambana na uhalifu ya mjini The Hague kwa Mbabe wa kivita, Thomas Lubanga.

View Article


Annan alitaka baraza la usalama kuondoa mkwamo

Mjumbe maalum wa umoja wa mataifa na mataifa ya Kiarabu ,Arab League, kuhusu mzozo wa Syria ,Kofi Annan ,amelihimiza baraza la usalama la umoja wa mataifa kuondoa mkwamo uliopo ili kumaliza ghasia...

View Article

Vikosi vya Marekeni kuondoka Afghanistan 2014 huku jina la mwanajeshi...

Rais wa Marekani Barrack Obama na mwenzake wa Afghanistan Hamid Karzai wamethibitisha kwamba majeshi ya Marekani yataondoka nchini humo mwishoni mwa mwaka 2014.

View Article

Tatizo la viwanja vitupu kushughulikiwa Afrika Kusini

Kuvijaza viwanja vya michezo ni suala litakalopewa kipau mbele katika fainali zijazo za kombe la Mataifa ya bara la Afrika. Hayo ni kwa mujibu wa kamati andalizi ya dimba hilo maarufu barani Afrika.

View Article
Browsing all 28146 articles
Browse latest View live