Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Viewing all articles
Browse latest Browse all 28167

Mawaziri wa ulinzi wa Marekani, Ujerumani watembelea Afghanistan

$
0
0
Wakati hali ya mambo bado si nzuri nchini Afghanstan baada ya askari wa Marekani kuwaua raia 16 wa nchi hiyo, mawaziri wa ulinzi wa Ujerumani na Marekani wanatembelea nchi hiyo kwa lengo la kukutana na Rais Hamid Karzai.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 28167

Trending Articles