Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Browsing all 28146 articles
Browse latest View live
↧

Utafiti wa uchumi wa S&P waonesha wasiwasi kwa kanda ya euro

Mkuu wa Shirika la Fedha la Kimataifa, Christine Lagarde amezikaribisha jitihada za Ujerumani na Ufaransa katika kufanikisha viwango vigumu vya fedha katika kanda ya Ulaya, lakini amesema jitihada...

View Article


Matokeo ya urais DRC kutolewa baada ya masaa 48

Kamisheni ya Uchaguzi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imeahirisha kutangaza mshindi wa kinyag'anyiro cha urais kufuatia uchaguzi wa wiki iliyopita na kuzusha hofu ya kutokea kwa vurugu nchini...

View Article


Tanzania: Mahojiano na waziri wa Mambo ya Kigeni Bw.Bernard Membe kuhusu...

Serikali ya Tanzania imeelezea kusikitishwa kwake na mgawanyiko unaojitokeza ndani ya Umoja wa Afrika katika kufikia makubaliano ya masuala mbalimbali.

View Article

Matokeo ya urais DRC yanatarajiwa kutolewa leo

Kimekuwa na wasiwasi wa hali ya juu nchini Jamhuri ya Kidemocracy ya Congo, wakati wapiga kura wakisubiri matokeo yaliyochelewa ya uchaguzi wa urais wa wiki iliyopita.

View Article

Maandamano yaendelea nchini Urusi

Maandamano dhidi ya chama tawala cha Waziri Mkuu wa Urusi, Vladimir Putin na tuhumza za wizi wa kura, kufutia uchaguzi wa bunge jumapili iliyopita yamechemka kwa siku ya tatu mfululizo ambapo polisi...

View Article


Mkutano mkuu wa Umoja wa Ulaya kuanza leo

Viongozi wa Ufaransa na Ujerumani wanatafuta uungwaji mkono miongoni mwa viongozi wenzao wa jumuiya ya ulaya ili kutatua mgogoro wa madeni unaokumba jumuiya hiyo. Viongozi hao wanakutana kwa siku mbili...

View Article

Jacob Zuma ataka kipindi cha kufuata makubaliano ya Kyoto kirefushwe

Kumekuwa na maendeleo katika mazungumzo yanayofanywa na Umoja wa Mataifa kuhusu ulinzi wa tabia nchi. Shinikzo limeongezeka, kwa sababu wataalamu wanaonya kuhusu athari za mabadiliko ya tabia ya nchi.

View Article

Umoja wakubaliana kibano zaidi katika matumizi ya fedha

Viongozi wa Umoja wa Ulaya wamekubaliana juu ya mpango kazi wa sheria mpya na kali za fedha. Lengo ni kukabiliana na mgogoro wa sarafu wa euro katika kanda inayotumia sarafu hiyo.

View Article


Rais Kabila atangazwa mshindi wa uchaguzi DRC

Tume ya uchaguzi katika Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, imemtangaza rais wa sasa Joseph Kabila kuwa amechaguliwa tena kwa asilimia 49 ya kura .

View Article


Mkutano wa Durban haujafikia makubaliano

Afrika Kusini, mwenyeji wa mkutano wa Umoja wa Mataifa juu ya tabia nchi,mjini Durban,imepaswa kuwasilisha mswada mpya wa mkataba baada ya mapendekezo ya hapo awali kupingwa na nchi wanachama 154...

View Article

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo yaingia kwenye mgogoro

Kongo inakabiliwa na mvutano mkali baada ya rais wa sasa, Joseph Kabila, kutangazwa mshindi wa uchaguzi uliopita, huku mpinzani wake mkuu, Etienne Tshisekedi, akiyapinga matokeo hayo na kujitangaza...

View Article

Majadiliano ya mabadiliko ya tabia nchi , wajumbe washindwa kuafikiana

Awamu ya kufunga majadiliano ya Umoja wa Mataifa juu ya mabadiliko ya tabia nchi mjini Durban yameendelea kwa usiku wa pili huku kukiwa na mivutano.

View Article

Jumuiya ya kimataifa yafikia muafaka kuhusu tabia-nchi

Mataifa 194 yanayowakilishwa kwenye mazungumzo ya Umoja wa Mataifa kuhusu tabia-nchi mjini Durban yamefikia makubaliano yatakayozifanya nchi zote kupunguza hewa chafu chini ya mkataba mpya kufikia...

View Article


Wanne wauawa, Carter Center washuku matokeo ya uchaguzi

Polisi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imesema kwamba watu wanne wameuawa hapo jana katika vurugu za baada ya kutangazwa matokeo ya uchaguzi. Milio ya risasi imesikika kutoka mji mkuu Kinshasa...

View Article

Miaka 48 ya Uhuru wa Kenya

Kenya inasherehekea miaka 48 tangu ijinyakulie Uhuru kutoka ukoloni wa Kiingereza. Siku ya Jamhuri inasheherekewa katika wakati ambapo nchi hiyo inakabiliwa na mgomo wa Madaktari kwa sasa, wanaodai...

View Article


Mzozo ndani ya chama cha wananchi CUF Tanzania

Wachunguzi wa mambo ya siasa huko Tanzania wananukuliwa wakisema kwamba mambo si shwari ndani ya uongozi wa chama cha upinzani cha CUF.

View Article

Tunisia yapata rais mpya

Mpinzani wa zamani amekuwa rais mpya wa Tunisia. Hapo jana, Bunge la mpito la Tunisia limemchagua daktari na mwanaharakati wa haki za binadamu Moncef Marzouki kushika wadhfa wa urais.

View Article


Rais Paul Kagame wa Rwanda azungumza na waandishi wa habari nchini Uganda

Rais Paul Kagame amesema hana shida yoyote na watu ambao wanapendekeza kubadilishwa kwa katiba ya nchi yake ili imruhusu kuwania urais kwa mara nyingine baada ya muhula wake wa pili wa utawala...

View Article

Marekani yakaribia kuondoka Iraq kwa ahadi ya kuendeleza mahusiano

Wiki chache kabla ya kuondoka majeshi ya Marekani nchini Iraq, Rais Barack Obama amethibitisha kuendelea kwa msaada wa nchi yake kwa serikali ya Iraq licha ya kumalizika kwa operesheni ya kijeshi.

View Article

Watano wauwawa katika shambulio mjini Liege

Mtu mmoja aliyekuwa na maguruneti pamoja na bunduki ameshambulia soko la krismass katika mji wa Liege nchini Ubelgiji jana , na watu wanne pamoja na yeye binafsi kuuwawa.

View Article
Browsing all 28146 articles
Browse latest View live