Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Viewing all articles
Browse latest Browse all 30547

Tunisia yapata rais mpya

$
0
0
Mpinzani wa zamani amekuwa rais mpya wa Tunisia. Hapo jana, Bunge la mpito la Tunisia limemchagua daktari na mwanaharakati wa haki za binadamu Moncef Marzouki kushika wadhfa wa urais.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 30547

Trending Articles