Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Browsing all 29403 articles
Browse latest View live
↧

Wagombea waahidi serikali ya umoja wa kitaifa Afghanistan

Nato imeridhika na ahadi iliyotolewa na wagombea urais nchini Afghanistan ya kuunda serikali ya umoja wa kitaifa na kuyatia saini makubaliano ya kuyaruhusu majeshi ya kimataifa yaendelee kuwapo nchini...

View Article


UEFA kubadilisha mfumo wa kuorodhesha timu

Shirikisho la Kandanda Ulaya – UEFA, linatathmini namna ya kubadilisha mfumo ambao vilabu vinavyoshiriki katika dimba la Champions League vinaorodheshwa katika viwango.

View Article


Mechi za AFCON zaendelea licha ya kitisho cha Ebola

Mlipuko wa ugonjwa hatari wa Ebola, ulaghai na udanganyifu, mchezaji kupigwa na kuuawa na mashabiki wake..ni kama soka la Afrika haliwezi kujiondolea sifa mbaya ya kukumbwa na matukio ya vurugu.

View Article

Marekani yathibitisha kifo cha kiongozi wa al Shabaab

Wizara ya ulinzi ya Marekani jana Ijumaa(05.09.2014)imethibitisha kuwa Ahmed Abdi Godane, kiongozi wa kundi la al-Shabaab, ameuwawa katika shambulio la anga la Marekani nchini Somalia wiki hii.

View Article

Steinmeier ataka serikali ya umoja wa kitaifa Afghanistan

Waziri wa mambo ya nje wa Ujerumani Frank Walter Steinmeier ametowa wito wa kuundwa serikali ya umoja wa kitaifa nchini Afghanistan kufuatia ziara yake ya ghafla nchini humo Jumamosi (06.09.2014).

View Article


Usitishaji mapigano mashariki mwa Ukraine mashakani

Miripuko mikubwa katika mji muhimu mashariki mwa Ukraine jana Jumamosi(06.09.2014) imezusha hofu kwamba makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya serikali na wapiganaji wanaotaka kujitenga tayari...

View Article

Afrika katika magazeti ya Ujerumani

Wiki hii magazeti ya Ujerumani yanatukumbusha kwamba yapo magonjwa mengine hatari barani Afrika. Magazeti hayo pia yanazungumzia juu ya athari za kampuni kubwa kuchukua ardhi ya kilimo barani Afrika

View Article

Obama kutangaza mpango wa kupambana na IS

Rais wa Marekani Barack Obama ametangaza kuwa atazindua mkakati wa kupambana na kulishinda kundi lenye itikadi kali za Kiislamu linalojiita Dola la Kiislamu.

View Article


Ulaya kuiwekea vikwazo zaidi Urusi

Ukraine na waasi wanalaumiana kwa kuvunja makubaliano ya kusitisha mapigano yaliyofikiwa, huku Umoja wa Ulaya ukikutana kujadili vikwazo vipya dhidi ya Urusi wanayoituhumu kuunga mkono waasi hao.

View Article


Ukraine,Scottland na Polisi wa Sheria magazetini

Hali mashariki ya Ukraine,kura ya maoni ya Scottland na mjadala kuhusu "Polisi ya sharia" Wuppertal na kuwashawishi wapita njia ni miongoni mwa mada magazetini nchini Ujerumani

View Article

Wanawake wadhalilishwa kingono Somalia

Shirika la kutetea haki za binaadamu limesema, wanajeshi wa Umoja wa Afrika wanaolinda amani nchini Somalia wamewadhalilisha kingono wasichana na wanawake wa kisomali wanaoishi katika mazingira magumu...

View Article

Kuwashinda Dola la Kiislamu kwataka umoja

Huku mataifa ya Magharibi yakikabiliana na kundi linalojiita "Dola la Kiislamu", mhariri mkuu wa Deutsche Welle, Alexander Kudascheff, anasema kinachohitajika ni mkakati wa kijeshi na kisiasa.

View Article

Ujerumani yaanza vizuri michuano ya Euro 2016

Mabingwa wa dunia Ujerumani yapata ushindi wa taabu dhidi ya Scotland katika michuano ya kuwania tikiti ya kucheza katika fainali za kombe la mataifa ya Ulaya , Euro 2016 nchini Ufaransa.

View Article


Maoni: Kuwashinda Dola la Kiislamu kwataka umoja

Huku mataifa ya Magharibi yakikabiliana na kundi linalojiita "Dola la Kiislamu", mhariri mkuu wa Deutsche Welle, Alexander Kudascheff, anasema kinachohitajika ni mkakati wa kijeshi na kisiasa.

View Article

Israel inawatesa Waeritrea na Wasudan

Ripoti mpya ya Human Rights Watch inasema serikali ya Israel imewalazimisha takribani raia 7,000 wa Sudan na Eritrea kurejea nyumbani katika nchi zao ambako wanakabiliwa na kitisho cha unyanyasaji.

View Article


Serikali mpya Iraq yapongezwa

Jamii ya kimataifa imekaribisha hatua ya bunge la Iraq kuiidhinisha serikali ya waziri mkuu Haider al-Abadi na kuelezea matumaini kuwa itasaidia juhudi za kupambana na kundi la Dola ya Kiislamu.

View Article

Umoja wa Ulaya kuongeza vikwazo kwa Urusi

Maafisa wa nchi za Umoja wa Ulaya wamekubaliana kuiwekea Urusi vikwazo zaidi kufuatia shutuma kwamba nchi hiyo inahusika kwenye mgogoro unaoendelea Mashariki mwa Ukraine.

View Article


Maoni ya wahariri

Wahariri wa magazeti leo wanavizungumzia vikwazo vipya vya Umoja wa Ulaya dhidi ya Urusi na juu ya hatari ya kufanyika mashambulio ya kigaidi nchini Ujerumani

View Article

Vijana na matumizi ya Instagram

Instagram ni huduma ya simu ama app inayotumika kwenye simu za mkononi za kisasa yaani smartphones kwa ajili ya kupiga picha na kisha kuzisambaza katika mtandao.

View Article

Marekani, Uingereza kusaidia dhidi ya Ebola

Marekani na Uingereza zimesema zitapeleka vifaa vya tiba na wanajeshi huko Afrika Magharibi kusaidia juhudi za kuzuia kuenea kwa maradhi hatari ya Ebola, huku WHO ikionya kuhusu kuzidi kwa maambukizi.

View Article
Browsing all 29403 articles
Browse latest View live