Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Browsing all 28159 articles
Browse latest View live
↧

Umoja wa Ulaya yapata viongozi wapya

Viongozi wa Umoja wa Ulaya wamemteuwa Waziri Mkuu wa Poland Donald Tusk kuwa rais mpya wa umoja huo na waziri wa mambo ya nje wa Italia Federica Mogherini kuwa mkuu wa sera za kigeni.

View Article


Umoja wa Ulaya wapata viongozi wapya

Viongozi wa Umoja wa Ulaya wamemteuwa Waziri Mkuu wa Poland Donald Tusk kuwa rais mpya wa umoja huo na waziri wa mambo ya nje wa Italia Federica Mogherini kuwa mkuu wa sera za kigeni.

View Article


AfD yachomoza uchaguzi wa jimbo la Saxony

Chama kinachoupinga Umoja wa Ulaya nchini Ujerumani cha Alternative für Deutschland AfD, kimeshinda viti vyake vya kwanza katika bunge la jimbo kufuatia uchaguzi uliyofanyika Jumapili katika jimbo la...

View Article

Lesotho: Naibu waziri achukua hatamu

Waziri Mkuu wa Lesotho Thomas Thabane ambaye amekimbilia Afrika Kusini kuepuka kile anachokitaja kuwa mapinduzi ya kijeshi dhidi yake, amemshutumu naibu wake kupanga njama ya kumuondoa madarakani.

View Article

Ujerumani kupeleka silaha kwa Wakurdi

Serikali ya Ujerumani imeamua kuwapelekea silaha Wakurdi wa kaskazini mwa Iraq ili kuwawezesha kupambana kwa ufanisi na wapiganaji wa dola la Kiislamu ambao bado wanazishikilia sehemu kadhaa ndani ya...

View Article


Serikali ya Libya yapoteza udhibiti wa mji mkuu

Serikali ya mpito ya Libya inayoondoka madarakani imekiri leo (01.09.2014) kwamba imepoteza kabisa udhibiti wa mji mkuu, Tripoli kwa makundi ya waasi. bunge limemtaka waziri mkuu aunde serikali mpya.

View Article

CAF yashikilia uamuzi wake kuhusu Rwanda

Shirikisho la Soka Afrika - CAF limeshikilia uamuzi wake wa kuiondoa Rwanda katika kampeni ya kufuzu dimba la Kombe la Mataifa ya Afrika mwaka wa 2015. Rwanda ilimtumia mchezaji wa uraia wa nchi mbili

View Article

Sierra Leone kuendelea na mechi yake ya AFCON

Kutokana na kitisho cha Ebola, Sierra Leone imelazimika kuwatumia wachezaji wote wanaocheza soka lao nje ya nchi hiyo katika mechi za kufuzu katika dimba la Kombe la Mataifa ya Afrika.

View Article


Bayern yatekwa, Dortmund yashika kasi

Mmoja wa wachezaji wapya katika Bundesliga ni kiungo Xabi Alonso ambaye hakumaliza hata saa 24 baada ya kujiunga na Bayern, na akacheza mechi yake ya kwanza waliyotoka sare ya goli moja kwa moja na...

View Article


Merkel atetea uamuzi wa kupeleka silaha Iraq

Kansela wa Ujerumani Angela Merkel ametetea uamuzi wa serikali yake kuvunja mwiko wa muda mrefu kwa kutuma silaha kaskazini mwa Iraq, akisema kundi la Dola la Kiilsamu ni tishio pia kwa Ujerumani na...

View Article

Uhamisho wa wachezaji umegharimu mabilioni

Soko la usajili wa wachezaji limekamilika na bila shaka uhamisho unaozungumziwa na wengi ni ule uliofanywa na Manchester United kumleta Radamel Falcao uwanjani Old Trafford.

View Article

Ukraine yasema tayari iko vitani na Urusi

Waziri wa ulinzi wa Ukraine Valeriy Geletey amesema tayari vita vikali vimeanza Kati ya nchi yake na Urusi, huku NATO ikijiimarisha katika nchi za Ulaya ya Mashariki kutuliza hofu ya wanachama wapya.

View Article

Marekani yashambulia mtandao wa al-Shabaab

Jeshi la Marekani limeushambulia mtandao wa kundi lenye itikadi kali za Kiislamu al Shabaab katika operesheni yake (01.09.2014) nchini Somalia. Shambilo hilo linatajwa kumlenga kiongozi anayejificha wa...

View Article


Wasemavyo wahariri wa magazeti ya Ujerumani

Wahariri wa Ujerumani Jumanne hii wanazungumzia juu uamuzi wa serikali ya Ujerumani kuwapelekea silaha wapiganaji wa Kikurdi nchini Iraq, uchaguzi wa jimbo la Saxony, mgogoro wa Ukraine mashariki...

View Article

Ukraine yadai Urusi inaanzisha vita vikuu

Ukraine imedai kuwa Urusi imeanzisha kile ilichookita ''vita vikubwa, ambavyo Ulaya haijawahi kuvishuhudia tangu kumalizika kwa Vita Vikuu vya Pili vya Dunia.''

View Article


Uhifadhi wa misitu kwa maisha bora Kenya

Muongo mmoja uliopita mkoa wa Kasigau ulipo kusini mashariki mwa Kenya ulikuwa jangwa kwa ukataji miti ovyo.Lakini hivi sasa hali imebadiliko ambapo mkoa huo umukuwa chanzo cha wengi kujipatia fedha...

View Article

Makanisa yakabiliana na mabadiliko ya tabia nchi

Pamoja na Ujerumani kuwa katika hamasa ya kufanya mabadiliko ya matumizi ya nishati katika sera yake, kiwango cha hewa chafu, kumengezeka kwa kipindi cha miaka miwili iliyopita, kwa mara ya kwanza...

View Article


Rais wa Brazil kurejea tena katika kiti chake?

Wakati mbio za uchaguzi wa rais wa Oktoba 5 wa Brazil zikipata kasi, kumeonekana wimbi la watu lenye kumuunga mkono rais Dilma Roussef ambalo linatajwa kuwa kama ngao ya kumvusha rais huyo katika...

View Article

IS Watuhumiwa kuangamiza jamii za wachache Iraq

Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limewatuhumu wapiganaji wa kundi la dola la Kiislamu kufanya mauaji ya kikabila kaskazini mwa nchi hiyo ya Iraq.

View Article

'WildLeaks' kufichua majingili wakubwa

Ujangili wa kuuwa Tembo na Vifaru barani Afrika kwa kiasi kikubwa umegubikwa na vyombo vya usalama vikishirikiana na mtandao wenye nguvu zaidi.

View Article
Browsing all 28159 articles
Browse latest View live