Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Viewing all articles
Browse latest Browse all 30335

Ujerumani kupeleka silaha kwa Wakurdi

$
0
0
Serikali ya Ujerumani imeamua kuwapelekea silaha Wakurdi wa kaskazini mwa Iraq ili kuwawezesha kupambana kwa ufanisi na wapiganaji wa dola la Kiislamu ambao bado wanazishikilia sehemu kadhaa ndani ya Iraq.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 30335

Trending Articles