Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Browsing all 28146 articles
Browse latest View live
↧

Umoja wa Mataifa waonya kuhusu hali ya Afrika ya Kati

Umoja wa Mataifa wameonya kuwa mzozo wa Jamhuri ya Afrika ya Kati unakaribia kuwa janga, huku nusu ya idadi ya watu wakiachwa bila makaazi tangu machafuko ya kimadhehebu yalipozuka

View Article


Mazungumzo ya kutafuta amani Sudan Kusini yaanza Addis Ababa

Wawakilishi wa serikali na waasi wa Sudan Kusini wameanza mazungumzo ya ana kwa ana nchini Ethiopia kutafuta amani katika taifa hilo changa ambalo limekumbwa na mzozo unaotishia kulitumbukiza katika vita

View Article


Mwaka wa Kumbukumbu 2014 Magazetini

Kitisho cha itikadi kali ya dini ya kiislam nchini Iraq, mivutano ndani ya serikali ya muungano wa vyama vikuu wiki sita tu tangu ilipoundwa na mwaka wa kumbukumbu- 2014 nchini Ujerumani magazetini

View Article

Christine Lagarde aisifu Kenya

Kenya imetajwa kuwa kielelezo cha ukuaji wa uchumi katika eneo la Afrika Mashariki baada ya kukamilisha mpango wa ustawi wa kiuchumi kupitia ufadhili wa Shirika la Fedha Duniani IMF.

View Article

Waasi wauwa wapiganaji 34 wa jihadi Syria

Shirika la uangalizi wa haki za binaadamu nchini Syria limesema kuwa waasi wa Syria wamewaua wapiganaji 34 wa kigeni walio na mafungano na mtandao wa Al-Qaeda kaskazini-magharibi mwa nchi hiyo.

View Article


Wakuu wa majeshi, polisi wakutana Kigali

Wakuu wa majeshi na polisi kutoka nchi za Rwanda, Uganda na Kenya wanakutana mjini Kigali wiki moja baada ya nchi hizo kuamua kutumia vitambulisho vya kawaida kusafiria baina yao.

View Article

Kesi ya Mursi yaahirishwa hadi Februari 1

Kesi ya kuchochea mauaji inayomkabili rais wa zamani wa Misri aliyeondolewa madarakani na jeshi, Mohammed Mursi, imeahirishwa hadi Februari Mosi. Kesi hiyo imeahirishwa kutokana na hali mbaya ya hewa.

View Article

Mgogoro wa Syria upatiwe uvumbuzi-wachambuzi

Mvutano wa ushindani wa kuitawala Syria katika eneo la kaskazini mwa nchi hiyo linaloshikiliwa na upinzanini sababu zinazosababisha kuendelea kwa mashambulizi ya waasi dhidi ya vita vya kidini.

View Article


Mji wa Bor kukombolewa mikononi mwa waasi?

Serikali ya Sudan Kusini imesema iko tayari kuukomboa tena mji wa Bor kutoka mikononi mwa waasi, huku mazungumzo ya kurejesha amani yakionekana kwenda taratibu mjini Ethiopia.

View Article


Mazungumzo ya amani kuhusu Sudan Kusini yakwama

Mazungumzo ya kutafuta amani nchini Sudan Kusini yanayofanyika mjini Addis Ababa, Ethiopia, yamekwama leo baada ya serikali kukataa ombi la waasi la kutaka kuachiwa kwa wafungwa wa kisiasa

View Article

Djotodia akabiliwa na shinikizo la kumtaka ajiuzulu

Viongozi wa Jumuiya ya Kiuchumi ya Afrika ya Kati wanakutana nchini Chad, kuujadili mzozo wa Jamhuri ya Afrika ya Kati pamoja na hatima ya rais wa nchi hiyo Michel Djotodia anayeshinikizwa kujiuzulu

View Article

Uganda,Rwanda, Kenya wakubaliana himaya moja ya ulinzi

Mawaziri wa ulinzi na wa mambo ya ndani kutoka nchi za Uganda,Rwanda na Kenya wametia saini makubaliano kuweka himaya moja ya ulinzi miongoni mwa nchi hizo.

View Article

Maoni ya wahariri

Wahariri wanatoa maoni juu ya uwezekano wa kuibadilisha ratiba ya fainali za kombe la dunia nchini Qatar na kuhusu aliyoyasema aliekuwa Waziri wa ulinzi wa Marekani Robert Gates juu ya Rais Obama. .

View Article


Yaya Toure huenda akawa mchezaji bora wa mwaka Afrika

Mchezaji wa kati wa Manchester City ya Uingereza, Yaya Toure, atakuwa mmoja wa wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa mwaka wa Shirikisho la Soka la Afrika, CAF, leo(09.01.2014).

View Article

Misri kupiga kura rasimu ya katiba mpya

Misri inatarajia kuipigia kura rasimu ya katiba mpya ya nchi hiyo wiki ijayo ambayo kama itapitishwa, itachukua nafasi ya katiba ya zamani ya mwaka 2012.

View Article


Marekani yazikosoa pande hasimu Sudan Kusini

Marekani imezikosoa pande zote mbili za mzozo wa Sudan Kusini kwa kutokupiga hatua ya maana kwenye mazungumzo ya amani mjini Addis Ababa, Ethiopia huku mapigano yakiendelea na mauaji yakiongezeka.

View Article

Michel Djotodia aachia ngazi

Michel Djotodia ambaye alichukua hatamu za uongozi wa Jamhuri ya Afrika ya Kati kufuatia shinikizo la kikanda. Aliingia madarakani baada ya muungano wa waasi aliouongoza kuvishinda vikosi vya serikali.

View Article


Yaya Toure ndiye Mfalme wa soka Afrika

Mchezaji nyota wa Manchester City Yaya Toure ameshinda kwa mara ya tatu mfululizo tuzo ya mchezaji bora barani Afrika. Lakini ushindi huo umekosolewa na maafisa wakuu wa soka nchini Nigeria

View Article

Msimamo wa Chama Cha Ennahda Tunisia

Hatimaye chama tawala nchini Tunisia cha Ennahda, chenye msimamo wenye itikadi kali za kiislam, kimeamua kutumia mbinu ya kuafiki baadhi ya masuala wanayoyapinga kwa katiba yao ijayo ili kulinda nafasi...

View Article

Miito ya kuachiwa wafungwa wa kisiasa Sudan Kusini yatolewa

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa pamoja na Baraza la Usalama la umoja huo, wametaka rais wa Sudan Kusini, kuwaachia huru wafungwa wa kisiasa katikati mwa jitihada za kufanikisha kuzima mapigano ya...

View Article
Browsing all 28146 articles
Browse latest View live