Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Viewing all articles
Browse latest Browse all 28146

Wapinzani Syria kuendeleza mapambano

$
0
0
Wapinzani nchini Syria wameitisha mandamano baada ya swala ya Ijumaa kupinga maazimio ya Jumuiya ya Umoja wa nchi za Kiarabu kuhusu mgogoro wa Syria baada ya Mkutano wao Mjini Baghdad siku ya Jumatano

Viewing all articles
Browse latest Browse all 28146

Trending Articles