Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Viewing all articles
Browse latest Browse all 28159

Yemen Yafanya Uchaguzi wa Rais

$
0
0
Wananchi wa Yemen wanapiga kura leo kumchagua rais mpya, kuchukua nafasi ya Ali Abdullah Saleh ambaye ameachia madaraka chini ya mkataba wa kumaliza machafuko. Kulikuwa na uitikiaji mkubwa licha ya visa vya fujo.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 28159

Trending Articles