Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Viewing all articles
Browse latest Browse all 28146

Mchuano wa kombe la mataifa ya Afrika kati ya Misri na Jamhuri ya Afrika ya Kati wasongezwa hadi Juni

$
0
0
Mchuano wa kufuzu kwa fainali za kombe la mataifa ya bara la Afrika kati ya Misri na Jamhuri ya Afrika ya Kati umeahirishwa hadi mwezi Juni kufuatia ghasia za soka mjini Port Said zilizowauwa watu 74 Februari mosi.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 28146

Trending Articles