Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Viewing all articles
Browse latest Browse all 28690

Trump apindua wezani wa korti kuu ya Marekani

$
0
0
Donald Trump amemteuwa jaji Neil Gorsuch kuwa mjumbe wa korti kuu na kuwapa Republican fursa ya kuidhibiti taasisi hiyo muhimu . Maamuzi ya rais mpya wa Marekani yanaonyesha kuungwa mkono na wananchi wengi nchini humo.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 28690

Trending Articles