Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Viewing all articles
Browse latest Browse all 28721

Madaktari Kenya wapewa siku 5 waache kugoma

$
0
0
Mahakama ya Kenya siku ya Alhamisi (26.01.2017) imewapa madaktari na wauguzi siku 5 kumaliza mgomo wao. Hatua hiyo inabadili msimamo wa awali wa serikali kutishia kuwatupa gerezani maafisa wa chama cha madaktari.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 28721

Trending Articles