Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Viewing all articles
Browse latest Browse all 28159

Dunia yalaani kuuwawa kwa kukatwa kichwa mwandishi Kenji Goto

$
0
0
Jumuiya ya kimataifa imelaani mauaji kwa kukatwa kichwa ya mwandishi wa habari wa Japani Kenji Goto yaliofanywa na kundi la Dola la Kiislamu IS ambapo Japani imeapa kuwafikisha wahusika mbele ya mkono wa sheria.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 28159

Trending Articles