Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Viewing all articles
Browse latest Browse all 29403

Kenya kupiga marufuku wasafiri kutoka Afrika magharibi

$
0
0
Kenya imekuwa moja kati ya nchi zilizochukua hatua ya kupiga marufuku wasafiri kutoka maeneo yaliyoathirika na ugonjwa wa Ebola katika Afrika magharibi na Nigeria yachukua hatua kuzuwia kusambaa kwa ugonjwa huo.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 29403

Trending Articles