Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Viewing all articles
Browse latest Browse all 29403

Maiti za wahanga wa MH17 zapelekwa Uholanzi

$
0
0
Ndege ya kwanza inayobeba majeneza 14 yaliyo na miili ya waliokufa katika mkasa wa ndege ya Malaysia iliyodunguliwa wiki iliyopita Mashariki mwa Ukraine imeondoka kutoka uwanja wa ndege wa Kharkiv, kuelekea Uholanzi leo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 29403

Trending Articles