Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Viewing all articles
Browse latest Browse all 28146

Tuzo ya Haki ya Maisha yaenda kwa Daktari wa DRC

$
0
0
Daktari Denis Mukwege wa DRC amekuwa mmoja wa washindi wanne wa tuzo ya Haki ya Maisha kutokana na mchango wao katika kuendeleza haki za binaadamu, kuboresha upatikanaji wa chakula na kukabiliana na silaha za kemikali.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 28146

Trending Articles