Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Viewing all articles
Browse latest Browse all 28146

Maandamano kufanyika Misri licha ya kitisho cha serikali

$
0
0
Chama cha Udugu wa Kiislamu kimepanga kuandamana baada ya sala ya Ijumaa dhidi ya serikali ya mpito nchini humo. Maandamano hayo yameitishwa licha ya serikali kutishia kutumia nguvu kupambana na waandamanaji.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 28146

Trending Articles