Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Viewing all articles
Browse latest Browse all 28902

NATO yasema itasimama na Uturuki katika suala la Syria

$
0
0
Washirika wa jumuiya ya kijeshi ya NATO wamelaani mashambulio yaliyofanywa na vikosi vya serikali ya Syria vinavyoungwa mkono na Urusi na kusabaisha vifo vya askari 33 wa Uturuki katika mkoa wa Idlib.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 28902

Trending Articles