Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Viewing all articles
Browse latest Browse all 28968

Pande hasimu zakutana kwa mazungumzo Geneva

$
0
0
Mahasimu wa kisiasa wa Libya wamekutana leo Jumatano 26.02.2020 katika mazungumzo chini ya Umoja wa Mataifa mjini Geneva. Mazungumzo hayo yalilenga kumaliza awamu mpya ya mapigano katika mji mkuu wa Libya, Tripoli

Viewing all articles
Browse latest Browse all 28968