Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Viewing all articles
Browse latest Browse all 28895

Klabu ya Zamalek kuadhibiwa baada ya kutofika uwanjani

$
0
0
Shirikisho la soka nchini Misri EFA  limeahidi kuchukua hatua  baada ya mafahali  wa  mjini Cairo Zamalek kushindwa  kufika  katika  mchezo  wa  watani  wa  jadi jana dhidi ya mahasimu wao  wakubwa  Al Ahly mjini Cairo. 

Viewing all articles
Browse latest Browse all 28895

Trending Articles