Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Viewing all articles
Browse latest Browse all 28613

Ziara ya Rais wa Iran nchini Iraq ni ya kuimarisha uhusiano

$
0
0
Rais wa Iran Hassan Rouhani anaitembelea Iraq kwa ajili ya kuimarisha uhusiano wa kibiashara. Ziara yake inatoa ishara kwamba Iran ina chaguo lingine kwenye kanda ya Mashariki ya Kati.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 28613

Trending Articles