Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Viewing all articles
Browse latest Browse all 28159

UN yataka uchaguzi huru na wa haki Myanmar

$
0
0
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon amesema uchaguzi unaotarajiwa kufanyika wiki ijayo nchini Myanmar hautakuwa huru, mpaka pale utawala wa kijeshi wa nchi hiyo utakapowaachia wafungwa wote wa kisiasa.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 28159

Trending Articles