Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Browsing all 28159 articles
Browse latest View live
↧

Bayern na Dortmund kuumana

Huku fainali ya Wembley ikisubiriwa na wengi, kati ya Borussia Dortmund na Baywen Munich, katika Champions League, mahusiano baina ya mahasimu hao wa Bundesliga yanaendelea kuharibika

View Article


Uhuru wa habari wazidi kutishiwa Afrika ya kati

Licha ya uongozi mpya nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati kuahidi kulinda uhuru wa vyombo vya habari baada ya kuuangusha utawala wa rais Francois Bozize, hali inaelezwa kuwa mbaya kuliko ilivyokuwa chini...

View Article


DRC yasisitiza kurudishwa nyumbani wakimbizi 127,537 wa Rwanda waliopo Congo

Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo , imeomba kufanyika mkakati kamili wa kuwarudisha nyumbani jumla ya wakimbizi 127,537 wa Rwanda ambao kwa sasa wanaishi nchini Congo.

View Article

Hali ya tete nchini Nigeria

Shirika la Umoja wa Mataifa la Haki za Binaadamu jana limeonesha kusikitishwa kwake na vurugu zinazoendelea huko kaskazini-mashariki mwa Nigeria ambazo zimesababisha vifo na kuwaacha raia bila makazi

View Article

Obama haoni uwezekano wa kupeleka jeshi Syria

Rais wa marekani Barack Obama amekaribia siku ya Ijumaa(03.05.2013) kuamua kutowapeleka wanajeshi wa Marekani nchini Syria,akisema kuwa haoni uwezekano ambao hatua hiyo italeta manufaa kwa Marekani ama...

View Article


Ndege za Israel zashambulia Syria

Israel imefanya shambulio la anga dhidi ya shehena ya makombora ya Syria yaliokuwa yakisafirishwa kupelekwa kwa kundi la wapiganaji wa Hezobollah lilioko katika nchi jirani ya Lebanon.

View Article

Israel yashambulia tena Syria

Israel imefanya shambulio la roketi dhidi ya kituo cha utafiti wa sayansi cha Jamraya kilichoko karibu na mji mkuu Damascus usiku wa kuamkia Jumapili,(05.05.2013), limeeleza shirika la habari la Syria...

View Article

Silaha za sumu zilitumika Syria

Waasi nchini Syria walitumia sumu ya Sarin inayoathiri neva za ubongo katika vita vya Syria.Hayo ni kulingana na mchunguzi wa masuala ya haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa Carla del Ponte

View Article


Tanzania: Bomu laripuka Kanisani mjini Arusha

Jeshi la polisi nchini Tanzania linawashikilia watu wanane wakiwemo raia wa kigeni kufuatia tukio la mripuko wa bomu lililosababisha watu wawili kupoteza maisha na wengine 60 wakajeruhiwa.

View Article


Kesi dhidi ya kundi la NSU yaanza

Kesi dhidi ya mwanachama aliyebakia wa kikundi cha magaidi wa Kinazi hapa Ujerumani (NSU) kinachoshukiwa kuwauwa wageni kumi kwa misingi ya ubaguzi imeanza mjini Munich, ikichukuliwa kama moja ya kesi...

View Article

Kesi ya magaidi wa NSU

Kesi ya mauwaji dhidi ya wafuasi 5 wa vuguvugu la chini kwa chini la wazalendo wa kijamaa,hujuma za Israel dhidi ya Syria na mkutano mkuu wa chama cha kiliberali ni miongoni mwa mada zilizopewa umuhimu...

View Article

Kongamano la kutafuta utulivu Somalia

Wajumbe kutoka nchi na mashirika hamsini wanakutana jijini London hii leo (07.05.2013) katika kongamano la kimataifa linalolenga kuizuia Somalia isitumbukie tena katika lindi la machafuko na ukosefu wa...

View Article

Bayern na Dortmund zatoshana nguvu

Bayern Munich , mabingwa wa Ligi ya Ujerumani, Bundesliga msimu huu, na timu iliyoko katika nafasi ya pili , mabingwa wa zamani Borussia Dortmund wametoka sare ya bao 1-1 katika mechi ya ligi

View Article


John Kerry ziarani Moscow

Waziri wa mambo ya nchi za nje wa Marekani John Kerry amewasili Moscow kwa mazungumzo pamoja na rais Vladimir Putin kuhusu mzozo wa Syria na jinsi ya kuimarisha uhusiano kati ya mahasimu hao wawili wa...

View Article

DRC: Nchi hatari zaidi kwa mama

Shirika la kimataifa la kuhudumia watoto - Save the Children limeitaja Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, kuwa eneo baya zaidi ulimwenguni kuishi ukiwa mama, wakati Finland ikiibuka eneo bora zaidi.

View Article


Mafashisti mamboleo NSU, mahakamani

Wahariri wanazungumzia juu ya kesi kubwa inayowakabili mafashisti mamboleo wa Ujerumani, na juu ya mgogoro wa Syria.

View Article

Iran yaanza kusaka mrithi wa Ahmadnejad

Zoezi la kuwasajili wagombea wa urais tarehe 14 Juni mwaka huu nchini Iran limeanza siku ya Jumanne, ambapo wahafidhina kadhaa wameonyesha nia ya kugombea nafasi hiyo, lakini wanamageuzi muhimu bado...

View Article


Wanawake 3 waliotoweka wapatikana hai

Wanawake watatu wa jimbo la Ohio Marekani wanaoaminika walitekwa nyara muongo mmoja uliopita wamepatikana wakiwa hai kwenye nyumba mmoja ilioko katika mji wa Cleveland karibu na mahala ambapo...

View Article

Msanii wa Kichina na kampeni dhidi ya pembe za ndovu Kenya

Huku kampeni dhidi ya biashara ya pembe za ndovu zikizidi barani Afrika, mcheza filamu mashuhuri wa China, Li Bingbing, anatembelea hifadhi za wanyamapori za Kenya kuwaelimisha Wachina dhidi ya madhara...

View Article

Urusi na Marekani kuandaa mkutano kuhusu Syria

Baada ya miezi kadhaa ya kutofautiana vikali, hatimaye Urusi na Marekani zimekubaliana kuzishinikiza pande zote zinazohusika katika mgogoro wa Syria kutafuta suluhisho la kumaliza umwagaji damu

View Article
Browsing all 28159 articles
Browse latest View live