Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Browsing all 28146 articles
Browse latest View live
↧

IMF yahimiza njama potovu dhidi ya wanawake zikome

Mataifa yanabidi yabatilishe sheria zinazowazuwia wanawake kufanya kazi ili kuzidisha idadi ya wanawake wanaoajiriwa kazini na kuimarisha mapato yao,anasema mkurugenzi wa shirika la fedha la kimataifa...

View Article


Netanyahu asifu hukumu dhidi ya Palestina

Mahakama ya New York, Marekani imeutia hatiani utawala wa ndani wa Wapalestina na Chama cha Ukombozi cha Palestina, PLO, kwa kuhusika na mashambulizi sita mjini Jerusalem yaliyowaua Wamarekani.

View Article


Maombi ya Ugiriki ya kuongezewa muda wa kusaidiwa yakubaliwa

Mpango wa kuisaidia Ugiriki utarefushwa .Halmashauri ya Umoja wa Ulaya imetoa taarifa hiyo na kueleza kuwa msaada huo utaendelea hadi mwishoni mwezi Juni. Lakini shirika la fedha la kimataifa bado lina...

View Article

Amnesty yazikosoa serikali kushindwa kuwalinda raia duniani

Shirika la Amnesty International limezikosoa serikali ulimwenguni kwa kushindwa kuwalinda mamilioni ya raia dhidi mauaji yanayofanywa na vyombo vya dola na makundi yenye silaha katika mwaka 2014.

View Article

DRC yaanzisha mashambulizi dhidi ya FDLR

Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo limeanzisha mashambulizi dhidi ya waasi wa kundi la Kihutu kutoka Rwanda-FDLR, walioko mashariki mwa nchi hiyo.

View Article


Wahouthi waiteka kambi ya kikosi maalumu

Kundi la jamii ya Houthi nchini Yemen ambalo linaudhibiti mji mkuu wa nchi hiyo Sana'a, limeiteka kambi ya kikosi maalum katika mji huo. Hayo yametokea wakati watu wenye silaha wakiwa wamemteka raia wa...

View Article

Badawi ashinda tuzo ya 'Freedom of Speech Award' ya DW

Mwanaharakati wa Saudi Arabia aliyekuwa msitari wa mbele kutetea uhuru wa kujieleza Raif Badawi anapewa tuzo ya Uhuru wa Kujuieleza ya Deutsche Welle - Freedom of Speech Award.

View Article

FIFA:Vilabu vya Ulaya havitalipwa fidia

Shirikisho la soka duniani FIFA limetunisha misuli yake tena leo (25.02.2015) kwa kutangaza vilabu vya soka havitalipwa fidia kwa kuwapoteza wachezaji na kuvurugika kwa ligi kutokana na kuahirisha...

View Article


Steinmeier atangaza sera nje ya Ujerumani

Ugaidi wa Dola la Kiislamu, Ebola na mzozo wa Ukraine ni miononi mwa mambo ambayo yanaonekana kutokuwa na mwisho na ambayo sasa siasa ya nje ya Ujerumani inajaribu kuyatafutia majibu.

View Article


Miaka 130 ya mkutano wa Berlin ulioigawa Afrika

Miaka 130 iliyopita, siku kama ya leo, mkutano wa Berlin ambao ndiyo ulikuwa mwanzo wa ukoloni barani Afrika, ulimalizika. Ni Katika mkutano huo ambapo wakoloni waliweka mipaka ya makoloni yao barani...

View Article

Uhusiano wa Marekani na Israel mashakani

Hatua ya Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu ya kukosoa juhudi za kupata makubaliano juu ya mpango wa nyuklia wa Iran, kumezusha hisia kali na uharibifu wa ushirikiano katika mahusiano ya Israel...

View Article

Mchinjaji mateka wa IS 'Jihadi John' ni raia wa Uingereza

Mwanamgambo anayejulikana kwa jina la utani 'Jihadi John' wa kundi la wanamgambo wenye itikadi kali la dola la kiislamu IS, ambaye amekuwa akionekana katika video akiwachinja mateka ametambuliwa kama...

View Article

Baraza la usalama lajadili hali nchini Ukraine

Baraza la Usalama la Umoja wa mataifa linakutana kwa dharura kuzungumzia mzozo wa Ukraine katika wakati ambapo hali inadhihirika kuimarika katika uwanja wa mapigano mashariki ya nchi hiyo.

View Article


Bunge la Ujerumani kuipa Ugiriki ahueni

Wabunge wa Ujerumani wanatazamiwa kuidhinisha urefushaji wa mpango wa uokozi wa Ugiriki katika kura ya bungeni siku ya Ijumaa,na hivyo kuondoa kizingiti cha mwisho cha kuendeleza musaada muhimu...

View Article

Twiga katika hatari ya kutoweka

Ni wanyama wachache sana wanaotambulishwa zaidi na bara la Afrika kama alivyo Twiga. Lakini sasa mnyama huyo anakabiliwa na kitisho cha kutoweka kutokana na imani kwamba uboho wake unatibu ukimwi.

View Article


Mwanasiasa mashuhuri auwawa Urusi

Boris Nemtsov kiongozi wa upinzani mwenye heba na mkosoaji mkubwa wa rais Vladimir Putin wa Urusi ameuwawa kwa kupigwa risasi karibu na Ikulu Moscow Ijumaa usiku. (27.02.2015).

View Article

Ocalan ataka chama chake cha PKK kuacha mapigano Uturuki

Kiongozi wa wanamgambo wa Kikurdi aliyeko kifungoni Abdullah Ocalan ametoa wito kwa wafuasi wake kuchukua "uamuzi wa kihistoria kuweka silaha zao chini, kwa mujibu wa taarifa jana Jumamosi(28.02.2015).

View Article


Maelfu waandamana kuomboleza kifo cha Nemtsov

Maelfu ya watu wameandamana Jumapili (02.03.2015) mjini Moscow kuomboleza kifo cha kiongozi wa upinzani Boris Nemtsov ambaye ameuwawa kwa kupigwa risasi mjini humo.

View Article

Netanyahu azuru Marekani kuzuia mkataba na Iran

Waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amewasili Washington Marekani (02.03.2015) katika kile alichokiita ''jitihada za kihistoria'' kuzuia mkataba wa kimataifa kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran ambao...

View Article

Kerry na Lavrov wakutana kwa mazungumzo

Waziri wa mambo ya nchi za nje wa Marekani John Kerry anakutana na mwenzake wa Urusi Sergey Lavrov kwa mazungumzo, wakati hali ikiwa bado ni ya wasiwasi nchini Ukraine.

View Article
Browsing all 28146 articles
Browse latest View live