Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Browsing all 28146 articles
Browse latest View live
↧

Wahouthi wampa changamoto Rais wa Yemen

Wapiganaji wa Houthi wamepambana na walinzi katika makaazi binafsi ya Rais wa Yemen na kuingia katika Ikulu yake Jumatano (21.01.2014) na hivyo kuzidisha hatari katika mapambano ya kuwania madaraka.

View Article


Utandawazi wapoteza tamaduni asilia

Utandawazi unatajwa kuwa kiunganishi muhimu cha maisha ya kisasa kinachoubadilisha uchumi wa nchi kuwa wa kimataifa, lakini unalaumiwa pia kwa kutoweka kwa Uútambulisho wa tamaduni asilia.

View Article


Kuporomoka kwa bei kuna athari kwa watumiaji

Mtu ungedhani kwamba kuporomoka kwa bei ni jambo jema, lakini wachumi wanasema kila bei za bidhaa zinavyoshuka ndivyo watumiaji wanavyoacha kufanya manunuzi wakingojea punguzo jengine la bei.

View Article

Mgogoro wa Yemen wazidi kuzusha wasiwasi kimataifa

Taarifa zinasema rais Mansur Hadi amekutana na mwakilishi wa wapiganaji wa Houthi ikiwa ni siku moja baada ya wapiganaji wa kundi hilo la washia kuiteka ikulu

View Article

Mzozo wa Ukraine wapamba moto

Wanajeshi wa Ukraine wamefyetuliana mizinga na waasi mashariki ya Ukraine.Serikali ya mjini Kiev inadai wanajeshi wa Urusi walishiriki katika mapigano hayo na kwa namna hiyo kuzidisha makali ya mzozo huo,

View Article


AFCON: Congo Brazzaville yapata ushindi

Michuano ya kuwania Kombe la Mataifa ya Afrika iliingia katika siku yake ya 5 huko Guinea ya Ikweta ambapo Congo iliibwaga Gabon na Burkina Faso ikatoka sare na wenyeji Guinea ya Ikweta.

View Article

Jeshi la Ukraine lahama uwanja Donetsk

Jeshi la Ukraine limeondoka katika uwanja mkuu wa ndege katika mji wa Donetsk unaodhibitiwa na waasi, baada ya mapigano makali yaliyouwa wanajeshi wa serikali wasiopungua 10 na kuwajeruhi wengine 16.

View Article

Mahasimu wa Sudan Kusini wasaini makubaliano

Viongozi wa pande hasimu nchini Sudan Kusini wamesaini makubaliano ya kuimairisha juhudi za kukomesha vita vya wenyewe kwa wenyewe mjini Arusha, Tanzania, wakishuhudiwa na viongozi kadhaa wa Afrika.

View Article


Serikali yafikia makubaliano na waasi Yemen

Waasi wa madhehebu ya Shia wanaomshikilia nyumbani kwake Rais wa Yemen wamefikia makubaliano na kiongozi huyo anayeungwa mkono na Marekani kukomesha mzozo wa umwagaji damu katika mji mkuu.

View Article


Mkataba wa ulinzi wa bahari wapigiwa debe

Umoja wa Mataifa, utafanya jaribio lake la tatu na la mwisho kufikia makubaliano la kuanzisha majadiliano ya kuwepo mkataba wa kimataifa kuhusu viumbe anuwai, ambao utadhibiti shughuli za eneo la...

View Article

Benki Kuu ya Ulaya kununuwa dhamana za mabilioni ya euro

Benki Kuu ya Ulaya ECB imekubaliana kuanzisha mpango wa kununuwa dhamana za madeni ya serikali ambapo benki hiyo itachapisha fedha kununuwa euro bilioni 60 za dhamana kuanzia Machi hadi mwishoni mwa...

View Article

Tunisia kidedea , Cape Verde na Congo sare

Tunisia imekamata usukani wa kundi B jana Alhamis(22.01.2015) katika mashindano ya kombe la mataifa ya Afrika mwaka huu 2015 nchini Guinea ya Ikweta.

View Article

Rais wa Yemen ajiuzulu

Bunge la Yemen litakutana kwa dharura siku ya Jumapili kutokana na kujiuzulu kwa Rais Abdrabuh Mansour Hadi wa nchi hiyo, kufuatia mzozo wa kisiasa kati ya serikali ya Wasuni na wapiganaji wa Kishia wa...

View Article


Kongo yafutilia mbali sensa kabla uchaguzi

Baraza la seneti la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo leo (23.01.2015) limefuta kipengee kinachotaka sensa ifanyike kabla uchaguzi wa rais mwaka ujao katika muswaada utakaomuwezesha rais Joseph Kabila...

View Article

Mwanamfalme Salman arithi kiti

Mfalme wa Saudi Arabia Abdullah bin Abdul-Aziz Al Saud alifariki dunia siku ya Ijumaa akiwa na umri wa miaka 90, na kurithiwa na na mdogo wake Salman, kama mtawala wa juu kabisaa wa taifa hilo tajiri...

View Article


Abdullah azikwa makaburi ya watu wa kawaida

Mfalme Abdullah ibn Abdul-Azizi, moja wa watu matajiri zaidi katika historia ya dunia, amezikwa katika kaburi la kawaida ambalo halikuanishwa mjini Riyadh, katika mwendelezo wa utamaduni wa kujinyima...

View Article

Ghana yafufua matumaini, Bafana bafana bado iko hai

Baada ya kuugua malaria mshambuliaji Asamoah Gyan wa Ghana amerejea dimbani katika fainali za kombe la mataifa ya Afrika na kufunga bao la ushindi dhidi ya Algeria inayopigiwa upatu kutoroka na taji hilo.

View Article


Maandamano makubwa dhidi ya Wahouthi Yemen

Maelfu ya wananchi wa Yemen wameingia mitaani Jumamosi(24.01.2015) katika maandamano makubwa kabisa dhidi ya kundi la Wahouthi lenye kuidhibiti Yemen siku mbili baada ya kujizulu kwa Rais Abd-Raboo Hadi.

View Article

Mfalme Abdullah afanyiwa maziko ya kawaida

Mfalme Abdullah ibn Abdul-Azizi, moja wa watu matajiri zaidi katika historia ya dunia, amezikwa katika kaburi la kawaida ambalo halikuanishwa mjini Riyadh, katika mwendelezo wa utamaduni wa kujinyima...

View Article

Marekani na India zafikia makubaliano ya nyuklia

Rais Barack Obama wa Marekani na Waziri Mkuu wa India Narendra Modi wamefanikiwa kuondowa mkwamo wa makubaliano ya nyuklia na kupongeza enzi mpya ya urafiki kati ya mataifa hayo mawili makubwa ya...

View Article
Browsing all 28146 articles
Browse latest View live