Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Browsing all 28146 articles
Browse latest View live

Charlie Hebdo latoa toleo jipya baada ya mauaji

Toleo la kwanza la jarida la vikaragosi la Ufaransa la Charlie Hebdo limechapishwa leo (14.01.2015) kwa mara ya kwanza tangu lilipotokea shambulizi la kigaidi katika ofisi za jarida hilo na kuwaua watu...

View Article


Papa aiombea amani Sri Lanka

Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani alitembelea eneo la Kaskazini na kuwatolea mwito wasri-Lanka kusameheana baada ya zaidi ya miongo miwili ya vita vya wenyewe kwa wenyewe.

View Article


Vitambulisho mbadala kwa washukiwa wa ugaidi

Serikali kuu ya Ujerumani inapanga kuzifanya ziwe ngumu safari za kuingia na kutoka watuhumiwa wa kigaidi humu nchini. Baraza la mawaziri limepitisha mswaada wa sheria leo

View Article

Mzozo wa Libya wajadaliwa mjini Geneva

Mazungumzo ya amani kati ya makundi yanayohasimiana nchini Libya yanaendelea mjini Geneva. Umoja wa Mataifa umeonya mazungumzo hayo yaliyoanza jana (15.01.2015) huenda ni fursa ya mwisho kuepusha vita.

View Article

Papa Francis awasili Ufilipino

Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Baba Mtakatifu Francis, amewasili nchini Ufilipino, nchi yenye Wakatoliki wengi zaidi barani Asia, huku ulinzi mkali ukiwa umeimarishwa.

View Article


Watano wahamishwa kutoka Guantanamo

Wizara ya ulinzi ya Marekani Pentagon, imesema kwamba wafungwa watano katika gereza la Marekani la Guantanamo wamepelekwa katika nchi nyengine. Wanne kati ya hao wamepelekwa Oman na mwengine nchini...

View Article

Maoni: Uhuru ni haki ya binaadamu

Wakati papa Francis amehitimisha ziara yake nchini Sri Lanka, ujumbe mkuu wa kiongozi huyo wa kanisa katoliki duniani ni wa kuzingatiwa na ulimwengu mzima, anasema mwandishi wa DW Petersmann Sandra.

View Article

Merkel: Tutawalinda Wayahudi na Waislamu wa Ujerumani

Kansela wa Ujerumani, Angela Merkel ameahidi kuwalinda Wayahudi na Waislamu wanaoishi nchini Ujerumani dhidi ya ubaguzi.

View Article


Papa Francis apokelewa kwa shangwe Ufilipino

Kiongozi wa kanisa Katoliki Duniani Papa Francis , amekaribishwa kwa ngoma na muziki na waaumini , kwa lengo la kuanza ziara ya siku tano katika taifa hilo la Asia lenye idadi kubwa ya Wakatoliki.

View Article


Papa Francis aitaka Ufilipino kupambana na rushwa

Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Baba Mtakatifu Francis, ameitaka serikali ya Ufilipino kupambana na tatizo kubwa la rushwa iliyokithiri nchini humo, na amewataka viongozi kumaliza kabisa umaskini.

View Article

Matayarisho ya michuano ya AFCON yakamilika

Fainali za kombe la mataifa ya Afrika , AFCON, zinaanza rasmi (kesho)17.01.2015, ambapo timu 16 zilizofuzu zitawania taji hilo la juu kabisa barani Afrika.

View Article

Chad kutuma wanajeshi Cameroon kupambana na Boko Haram

Rais wa Cameroon Paul Biya ametangaza kuwa Chad itatuma kikosi kikubwa cha wanajeshi nchini mwake kusaidia katika mapambano dhidi ya wanamgambo wa kundi la Boko Haram

View Article

Watuhumiwa wa ugaidi wasakwa Ulaya

Waziri wa nje wa Marekani amekutana na rais Francois Hollande,masaa machache baada ya polisi katika nchi jirani ya Ubeligiji kuanzisha opereshini kubwa dhidi ya magaidi

View Article


Mkenya Rita Jeptoo asubiri hatma yake

Mwanariadha wa Kenya Rita Jeptoo, anayekabiliwa na kesi ya kutumia dawa za kuongeza nguvu anasubiri kujua hatma yake baada ya kufika mbele ya maafisa wa tume ya riadha ili kusikilizwa kesi yake

View Article

Lahm: ninapanga kustaafu mwaka wa 2018

Baada ya kustaafu kutoka soka la kimataifa aliposhinda Kombe la Dunia nchini Brazil, Philipp Lahm ametangaza kuwa anapanga kuzitundika njumu zake kabisa mwaka wa 2018, na kuiambia kwaheri klabu yake ya...

View Article


Kipchoge Keino atimiza miaka 75 ya kuzaliwa

Alikuwa mmoja wa wanariadha wa kwanza wa Kenya kuwika katika jukwaa la kimataifa na tangu wakati huo, amebakia kuwa nguli. Leo Jumamosi (17.01.2015) Kipchoge Keino anafikisha umri wa miaka 75

View Article

IMF yatoa mwelekeo wa uchumi wa dunia

Mkuu wa shirika la fedha la kimataifa IMF, Christine Lagarde amesema kushuka kwa bei za mafuta na kuimarika kwa uchumi wa Marekani havitatosha kuboresha mwelekeo wa uchumi wa dunia mwaka huu wa 2015.

View Article


David Ginola atangaza kuwania urais wa FIFA

Mchezaji wa zamani wa Ufaransa David Ginola amezindua ombi ambalo kiasi kikubwa linaonekana tayari kutokuwa na mafanikio yoyote la kuwania urais wa Shirikisho la Soka Ulimwenguni – FIFA.

View Article

LRA bado yaeneza hofu Afrika

Katika kipindi cha miaka mitatu, vikosi vya Umoja wa Afrika vimekuwa vikiwasaka waasi wa LRA katika Jamhuri ya Afrika ya Kati, na ingawa vikosi hivyo vimepata mafankio kadhaa, kundi hilo linaendelea...

View Article

Washukiwa kadhaa wa ugaidi wakamatwa barani Ulaya

Mataifa ya Ulaya yamewakamata washukiwa kadhaa wa Uislamu wa itikadi kali jana Ijumaa(16.01.2015)wakati Ubelgiji imesema imesambaratisha, kikundi cha "magaidi" waliokuwa wakipanga kuwauwa maafisa wa...

View Article
Browsing all 28146 articles
Browse latest View live