Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Browsing all 28146 articles
Browse latest View live

Msako wa washambuliaji wa Charlie Hebdo waendelea

Polisi wa Ufaransa wanaendelea kuwasaka watu wawili wanaowashuku kwa mashambulizi dhidi ya ofisi za jarida la Charlie Hebdo yaliyouwa watu 12, huku baadhi ya taasisi za Kiislamu zikishambuliwa.

View Article


Merkel na Cameron wajadili biashara na Umoja wa Ulaya

Kansela wa Ujerumani Angela Merkel ameahidi kumsaidia waziri mkuu wa Uingereza David Cameron kulitatua tatizo la watu wanaotumia vibaya mfumo wa nchi hiyo wa malipo ya uzeeni na msaada kwa wasiojiweza.

View Article


Washambuliaji wa Charlie Hebdo watafutwa

Polisi wa Ufaransa wanaendelea kuwasaka watu wawili wanaowashuku kwa mashambulizi dhidi ya ofisi za jarida la Charlie Hebdo yaliyouwa watu 12, huku baadhi ya taasisi za Kiislamu zikishambuliwa.

View Article

Wahanga wa shambulio la Ugaidi wakumbukwa

Kengele zimepigwa katika kanisa katoliki la Notre Dame mjini Paris, wakati raia wa Ufaransa walipowakumbuka wahanga wa shambulizi la kigaidi katika ofisi ya jarida la Charlie Hebdo

View Article

Shambulio nchini Ufaransa limeleta hofu Ujerumani pia

Huenda ni ubinadamu unaotusukuma katika hali hii, kwamba baada ya mshituko, hasira, na majonzi kuhusiana na shambulio la kigaidi dhidi ya jarida la dhihaka la Charlie Hebdo, hata hapa ujerumani ulinzi...

View Article


Mshindi wa urais Sri Lanka kuapishwa

Mshindi wa uchaguzi wa urais nchini Sri Lanka, Maithripala Sirisena, anaapishwa leo (09.01.2015), baada ya rais aliyeko madarakani Mahinda Rajapaksa kukubali kushindwa katika uchaguzi huo uliofanyika...

View Article

Oparesheni ya kuwasaka washukiwa wa ugaidi yashika kasi

Washukiwa wawili wanaodaiwa kushambulia jarida la Charlie Hebdo nchini Ufaransa na kusababisha vifo vya watu 12 wanasemekana kuiba gari moja na kuelekea Kaskazini Mashariki mwa nchi hiyo.

View Article

Operesheni ya kuwasaka washukiwa wa ugaidi yashika kasi

Washukiwa wawili wanaodaiwa kushambulia jarida la Charlie Hebdo nchini Ufaransa na kusababisha vifo vya watu 12 wanasemekana kuiba gari moja na kuelekea Kaskazini Mashariki mwa nchi hiyo.

View Article


Kabila aidhinishe harakati dhidi ya FDLR

Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa limemhimiza rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Joseph Kabila asaini operesheni ya pamoja na wanajeshi wa Umoja wa Mataifa kuwafurusha waasi wa Kihutu...

View Article


Boko Haram yazidi kuhangaisha Nigeria

Mashambulio yanayofanywa na wanamgambo wa kundi la Boko Haram Kaskazini mwa Nigeria huenda yameua mamia ya watu katika takriban maeneo 11,kwa mujibu wa taarifa za maafisa nchini humo

View Article

Inter yamsajili Shaqiri kutoka Bayern

Klabu ya Italia ya Inter Milan imeinyakua saini ya mchezaji wa kasi XHERDAN Shaqiri kutoka mabingwa wa Ujerumani Bayern Munich. Hii ni kwa mujibu wa taarifa za vilabu hivyo viwili.

View Article

Toure mchezaji bora Afrika kwa mara ya nne

Yaya Toure ametangazwa kuwa mchezaji bora barani Afrika kwa mara ya nne na kuifikia rekodi iliyowekwa na mshambuliaji wa zamani wa Cameroon Samuel Eto'o. Toure amewabwaga Aubameyang na Enyeama

View Article

Muhammad Ali yuko katika hali nzuri nyumbani

Muhammad Ali sasa yuko nyumbani baada ya kutibiwa hospitalini kutokana maambukizi ya njia ya mkojo. Bingwa huyo mara tatu wa uzito wa juu – heavyweight ameruhusiwa kuondoka hospitali

View Article


Kimetto, Kipsang kushiriki London marathon

Dennis Kimetto, aliyevunja rekodi ya ulimwengu ya marathon mwaka jana, na Mkenya mwenzake na bingwa mtetezi Wilson Kipsang, ambaye rekodi yake ilivunjwa na Kimetto, watashiriki mbio za London marathon

View Article

Tafrani nchini Ufaransa

Mwanamume mmoja aliyejihami kwa silaha amewachukua mateka watu kadhaa katika soko la kosher linalouza vyakula vya Kiyahudi, mashariki mwa mji mkuu wa Ufaransa Paris, tukio lililosababisha watu kadhaa...

View Article


Jeptoo kufika mbele ya tume ya riadha Kenya

Shirikisho la Riadha nchini Kenya AK litaisikiliza kesi inayomkabili Rita Jeptoo Alhamisi wiki ijayo, huku mkimbiaji huyo wa marathon akiamriwa kuhudhuria kikao hicho pamoja na makocha wawili na wakala...

View Article

Jitihada za Zimbabwe katika kuzindua sarafu yake ya dola.

Mwaka 2009, Zimbabwe ililaazimika kuachana na dola yake ambayo hakuna alietaka kuitumia, na kuanza kutumia dola ya Marekani ili kuepusha kuanguka kwa uchumi wake na mfumuko wa bei wa kiwango cha juu...

View Article


Mkasa wa mauaji Ufaransa wamalizika

Majeshi ya usalama nchini Ufaransa, Ijumaa (09.01.2015)yakitumia mabomu na bunduki yalifikisha mwisho siku tatu za ugaidi mjini Paris, wakiwauwa ndugu wawili wenye mahusiano na kundi la al-Qaeda.

View Article

Mwanamke anayesakwa kwa Udi na Uvumba Ufaransa

Polisi ya Ufaransa Jumamosi (10.01.2015) iko kwenye msako mkali wa mjane wa mmojawapo wa watuhumiwa waliouwawa waliohusika na wimbi la mashambulizi mjini Paris ambaye binafsi anahesabiwa kuwa ni mtu wa...

View Article

Obama hatahudhuria maandamano mjini Paris

Rais Barack Obama hatajiunga leo Jumapili(11.01.2015)na viongozi wengine duniani katika maandamano mjini Paris wakiomboleza wahanga wa mashambulio ya wiki hii yaliyofanywa na Waislamu wenye itikadi...

View Article
Browsing all 28146 articles
Browse latest View live