Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Browsing all 28146 articles
Browse latest View live
↧

Mvutano mkutano wa Lima

Katika mkutano wa Umoja wa Mataifa kuhusu ongezeko la joto duniani unaofanyika Lima, Peru, upo mvutano kati ya nchi tajiri na maskini kuhusu hatua za kuchukua ili kuzuia mabadiliko ya tabia ya nchi.

View Article


Rasimu ya mabadiliko ya tabia nchi yaidhinishwa

Takriban nchi 190 zimekubaliana Jumapili (14.12.2104) kuidhinisha rasimu ya vipengee muhimu kuelekea makubaliano ya dunia ya mwaka 2015 yanayotazamiwa kufikiwa Paris kupambana na mabadiliko ya tabia nchi.

View Article


Juhudi za kufufua amani ya Mashariki ya Kati

Waziri wa mambo ya nchi za nje wa Marekani J. Kerry anaendelea na juhudi zake za kuufufua utaratibu wa amani ya Mashariki ya kati.Baada ya kuonana na Netanyahu mjini Roma,amepangiwa kukutana na Saeb...

View Article

Pakistan yaomboleza mauwaji ya watoto 142

Wakaazi wa Pakistan wanaomboleza msiba wa siku tatu na kuandaa mazishi ya jumla jamala ya wahanga wa shambulio la kishenzi la kundi la wataliban katika shule moja ya mji wa kaskazini magharibi -Peshawar.

View Article

Marekani na Cuba zafungua ukurasa mpya

Baada ya zaidi ya nusu karne ya uhasama, hatimaye Marekani na Cuba zinarejesha mahusiano yao kidiplomasia, hatua ambayo imeungwa mkono na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon.

View Article


FARC watangaza kusitisha vita Colombia

Kundi kubwa zaidi la waasi nchini Colombia la FARC limetangaza usitishaji mapigano wa upande mmoja usiyo na kikomo, katika mgogoro huo wa miaka 50, kufuatia duru nyingine ya mazungumzo ya amani.

View Article

Pakistan yazidi kuwaandama Wataliban

Jeshi la Pakistan limeongeza mashambulizi yake dhidi ya wanamgambo wa Kiislamu na kuuwa wanamgabo 57 kwa mashambulizi ya angani na ardhini.

View Article

FIFA yakumbwa na kashfa nzito

Kamati ya uongozi wa shirikisho la mpira wa miguu duniani FIFA inakabiliwa na mgogoro mpya kufuatia kujiuzulu kwa Michael Garcia, akipinga kuchakachuliwa kwa ripoti yake ya rushwa katika zabuni za kobe...

View Article


Maelfu ya watoto watumikishwa kijeshi CAR

Shirika la hisani la Save the Children limesema maelfu ya watoto walikuwa wanatumika kama wanajeshi katika kipindi cha miaka miwili iliyopita wakati wa vita vya kikabila na kidini katika Jamhuri ya...

View Article


Peshmerga wawajeresha nyuma IS

Operesheni ya siku mbili ya kijeshi ya wapiganaji wa Peshmerga katika jimbo la Kurdistan imefanikiwa kufungua njia kuelekea Mlima Sinjar, uliokuwa umezingirwa na kundi lijiitalo Dola la Kiislamu.

View Article

Mkutano mfupi wa viongozi wa Umoja wa ulaya

Pengine ulikuwa mkutano mfupi kuliko yote iliyowahi kuitishwa hadi sasa na Umoja wa ulaya mjini Brussels,lakini safari hii hakujakuwa na mabishano na sera kuelekea Urusi zinajulikana;zimesalia vile vile

View Article

Umoja wa Mataifa waomba msaada kwa ajili ya Syria

Umoja wa Mataifa umeomba kiasi cha Dola bilioni 8.4 kwa ajili ya kutoa msaada wa dharura wa kibinaadamu kwa takribani watu milioni 18 wa Syria na kuzunguka ukanda huo unaokumbwa na mzozo.

View Article

Dortmund na Bremen zalenga kujikwamua

Tunakaribia siku kuu ya Krismasi! Lakini ligi kuu ya kandanda hapa Ujerumani Bundesliga ina duru moja ya michuano kabla ya wachezaji kwenda kwenye mapumziko ya msimu wa baridi

View Article


FIFA kuchapisha ripoti kamili kuhusu ufisadi

FIFA haitaanzisha tena mchakato wa kupiga kura za kuandaa fainali za Kombe la Dunia 2018 na 2022, lakini itachapisha ripoti ya GARCIA kuhusiana na madai ya kuwepo ufisadi katika mchakato huo

View Article

Mbona iwe tu ni Mario Balotelli?

Mbona ni mimi tu? Ni kama anakokwenda anaandamwa tu na kashfa, au ni yeye anayeziandamaan kashfa? Mshambuliaji wa Liverpool Mario Balotelli haonekani kuepuka vichwa vya habari

View Article


Marco Reus atozwa faini kubwa

Mchezaji wa timu ya taifa ya Ujerumani Marco Reus ametozwa mojawapo ya faini kubwa zaidi ya kuendesha gari kuwahi kushuhudiwa katika historia ya Ujerumani baada ya kutumia gari lake bila leseni halali.

View Article

Kenya kupambana na dawa za kuongeza nguvu

Bingwa mara tatu wa ulimwengu wa mbio za mita 3,000 kuruka viunzi na maji Moses Kiptanui ametoa wito wa kuchukuliwa adhabu kali kwa wanariadha wanaogundulika kutumia dawa zilizopigwa marufuku michezoni

View Article


Rais Kenyatta atia saini mswada dhidi ya Ugaidi

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta Ijumaa(19.12.2014)ametia saini kuwa sheria mswada wenye utata wenye lengo la kupambana na ugaidi na kusababisha wabunge kutupiana ngumi bungeni na kuzusha madai kuwa...

View Article

Marekani yaiwekea vikwazo Crimea

Wakati serikali ya Ukraine na waasi wanaotaka kujitenga wakijiandaa kwa mazungumzo mapya, serikali ya Marekani Ijumaa (19.12.2014) imeweka vikwazo zaidi dhidi ya jimbo la Crimea linalodhibitiwa na Urusi.

View Article

Ujumbe wa kupambana na Ebola kufungwa baada ya mapambano: Ban

Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kupambana na Ebola utafungwa haraka mara mapambano dhidi ya ugonjwa huo yatakapofanikiwa, katibu mkuu Ban Ki-moon amesema Jumamosi (20.12.2014) wakati wa ziara yake katika...

View Article
Browsing all 28146 articles
Browse latest View live