Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Browsing all 28146 articles
Browse latest View live

Rais akabidhiwa mapendekeo ya katiba

Rasimu mpya ya katiba imewasilishwa rasmi kwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete jana.

View Article


Uturuki, NATO na Marekani zakutana kuhusu IS

Wanamgambo wa Dola la Kiislamu leo wamechukua thuluthi moja ya eneo la mji muhimu wa mpakani nchini Syria, Kobane, wakati Uturuki ikikataa kuyatuma majeshi yake kwenda kupambana na wapiganaji hao wa...

View Article


Maoni: Siku Ujerumani ilipofanya mapinduzi kwa amani

Tarehe 9 Oktoba 1989, anasema Alexander Kudascheff, ni siku ya mapinduzi ya amani nchini Ujerumani ambapo maandamano yaliyoanza siku hiyo ndiyo yaliyochochea kuporomoka kwa mfumo wa kikomunisti.

View Article

Bundesliga kutumia Spray inayofutika haraka

Kuanzia Oktoba 18, spray inayofutika haraka itaanza kutumika katika ligi za daraja tatu kuu za kandanda Ujerumani, wakati wa kupigwa mipira ya freekick. Maafisa wamesema hakuna sababu yoyote ya...

View Article

Özil aachwa nje ya kikosi cha Ujerumani

Kiungo wa Ujerumani Mesut Özil amewachwa nje ya timu ya Ujerumani itakayoshiriki mechi ya kufuzu katika dimba la Euro 2016 kutokana na jeraha la goti na sasa atakuwa mkekani kwa miezi mitatu.

View Article


Uturuki yasema haiwezi kupigana peke yake nchini Syria

Uturuki leo imeyaambia mataifa ya magharibi kuwa haiwezi kutarajiwa kuongoza peke yake operesheni ya kijeshi ya ardhini dhidi ya wapiganaji wa jihadi nchini Syria.

View Article

Maafisa wa fedha duniani kuchukua hatua za kuukuza uchumi

Maafisa wa fedha kutoka nchi zenye nguvu zaidi kiuchumi duniani wanahimimizwa kuchukua hatua madhubuti kuepusha uchumi wa dunia usitumbukie katika mkwamo mpya ambapo ukuaji wa uchumi umesalia katika...

View Article

Mapambano yanaendelea kuudhibiti Kobane

Jopo la wanajeshi wa Marekani na Uturuki watakutana wiki ijayo mjini Ankara kujadili mapigano dhidi ya wanamgambo wa IS baada ya Marekani kuibinya Uturuki kujiunga na muungano wa kijeshi unaoongozwa na...

View Article


Malala na Satyarthi washinda Tuzo ya Amani ya Nobel

Msichana mwanaharakati wa Pakistan, Malala Yusufzai, na mpiganiaji wa haki za watoto wa India, Kailash Satyarthi, ndio washindi wa mwaka huu wa Nishani ya Amani ya Nobel

View Article


Kesi ya Kenyatta katika ICC yaangaziwa zaidi

Gazeti la mrengo wa kushoto la Tages Zeitung linalotoka mjini Berlin, lilikuwa na makala wiki hii kuhusu kesi dhidi ya rais wa Kenya Uhuru Kenyatta kuhusiana na uhalifu dhidi ya binaadamu

View Article

Lotus kutumia injini za Mercedes msimu ujao

Katika mashindano ya magari ya Formula One, Timu ya Lotus imetangaza kuwa itaacha kutumia injini za Renault kwenye magari yake na badala yake itatumia injini za kampuni ya Mercedes 2015.

View Article

Vifo vya Ebola vyapindukia 4,000

Idadi ya vifo vya Ebola imeripotiwa kupindukia 4,000, huku muunguzi wa Kihispania akipigania maisha yake Jumamosi, na serikali za mataifa zikijaribu kutuliza wasiwasi kuhusiana na ugonjwa huo hatari.

View Article

Ebola yaiweka dunia kwenye taharuki

Shirika la Afya Duniani (WHO) linaonya idadi ya watu waliokufa kwa ugonjwa hatari wa Ebola imepindukia 4,000 na kama hali haikudhibitiwa haraka zaidi ya watu milioni 1 watakuwa wameambukizwa kufikia...

View Article


Mkanganyiko wa Rasimu ya Katiba Tanzania

Wakati Bunge Maalum la Katiba likimaliza vikao vyake na kukabidhi kile kinachoitwa "Rasimu ya Katiba Inayopendekezwa", maswali yanayozuka ni pamoja na hatima ya Tanzania ndani ya rasimu hiyo tata.

View Article

Marekani yakiri mapambano ya mjini Kobani ni magumu

Waziri wa ulinzi wa Marekani Chuck Hagel amesema siku ya Jumamosi kuwa mji wa Syria wa Kobani ni tatizo kubwa na gumu, lakini mashambulizi ya angani yamepiga hatua katika kuwarudisha nyuma wapiganaji...

View Article


Morales azoa ushindi wa kishindo

Rais Evo Morales wa Bolivia amepata ushindi mkubwa na kuepuka uchaguzi wa marejeo, akirejea madarakani kwa muhula wa tatu na akiuita ushindi huo kuwa ni ushindi kwa mageuzi makubwa ya kisoshalisti.

View Article

Uturuki yakubali kujiunga na mapambano dhidi ya IS

Uturuki imeikubalia Marekani kutumia kambi zake za kijeshi kufanya mashambulizi ya angani dhidi ya wanamgambo wenye itikadi kali wa dola la kiislamu- IS huku wapiganaji wa kikurdi wakiendelea kupambana...

View Article


Gaza,Afghanistan na Ukraine Magazetini

Mkutano wa wafadhili wa Gaza mjini Cairo,uamuzi wa rais Putin wa Urusi kuviamuru virejee nyuma vikosi vya Urusi toka mpaka na Ukraine na hatima ya Afghanistan baada ya mwaka 2014 Magazetini

View Article

Wahudumu wa afya wagoma Liberia

Kiongozi wa chama cha wahudumu wa afya Liberia, nchi ilioathirika pakubwa na ugonjwa hatari wa ebola, amesema wahudumu hao wameanza mgomo kudai nyongeza ya mshahara kufuatia huduma yao wanayoitoa kwa...

View Article

Afisa wa magereza ataka Pistorius apewe kifungo cha nyumbani

Mawakili wa Oscar Pistorius wanataka mwanariadha huyo wa Afrika Kusini asipewe adhabu ya kifungo Jela, wakisisitiza kuwa anajutia kitendo chake na kuwa ni mtu wa tabia nzuri

View Article
Browsing all 28146 articles
Browse latest View live