Pillay alikosoa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa
Mkuu wa Tume ya Haki za Binaadamu ya Umoja wa Mataifa, Navi Pillay amelikosoa vikali Baraza la Usalama la umoja huo kwa kushindwa kuchukua hatua madhubuti za kumaliza au hata kuzuia mizozo inayoendelea.
View ArticleMarekani kuendelea na mashambulizi Iraq
Marekani imeonya kuwa vita dhidi ya waasi wa kundi linalojiita Dola la Kiislamu huenda vikachukua muda mrefu sana. Wizara ya ulinzi ya Marekani imeliita kundi hilo tishio kubwa ambalo halijawahi kutokea.
View ArticleWatu 15 wauwawa Ukanda wa Gaza
Hali bado imeendelea kuwa mbaya Ukanda wa Gaza. Taarifa kutoka huko zinaeleza watu 15 wamuwawa katika matukio mawili tofauti.
View ArticleMilango ya msimu mpya wa Bundesliga yafunguliwa
Msimu mpya wa Bundesliga umeng'oa nanga. Lakini mafanikio ya Ujerumani katika Kombe la Dunia yana maana gani katika kandanda la Bundesliga? Jee, Bundesliga iko tayari kumenyana tena kimataifa?
View ArticleSuper Mario akaribishwa tena Uingereza
Soka la Uingereza linamkaribisha tena mmoja wa wachezaji wenye utata kabisa. Liverpool ilimuuza mchezaji Luis Suarez na sasa wamemnunua Mario Balotelli ili kulijaza pengo la mashambulizi
View ArticleAfrika katika magazeti ya Ujerumani
Wiki hii magazeti karibu yote ya Ujerumani yameandika juu ya maradhi ya Ebola yaliyoripuka tena barani Afrika. Magazeti hayo pia yameandika juu ya vita vya kiwakala vinavyoongozwa na makanisa ya...
View ArticleLigi ya mabingwa wa dunia yaanza rasmi Bayern kidedea
Msimu wa ligi ya mabingwa wa dunia Bundesliga umeanza rasmi jana,(22.08.2014) na kama ilivyotarajiwa mabingwa watetezi wa ligi hiyo , Bayern Munich wamefanikiwa kuibwaga VFL Wolfsburg kwa mabao 2-1.
View ArticleMerkel na Obama walaani kitendo cha Urusi
Kansela wa Ujerumani, Angela Merkel na Rais Barack Obama wa Marekani wameonya kuhusu hatari ya kuongezeka kwa mzozo wa Ukraine, baada ya Urusi kupeleka msafara wake wa malori mashariki mwa Ukraine.
View ArticleMerkel ataka usitishaji mapigano Ukraine
Kansela Angela Merkel wa Ujerumani amesema Jumamosi (23.08.2014) mzozo wa Ukraine unaweza kutatuliwa lakini iwapo tu udhibiti utaimarishwa kwenye mipaka ya Ukraine na Urusi.
View ArticleHali ya wasi wasi yaongezeka Iraq
Mashambulio ya mabomu mjini Baghdad na mji wa kaskazini wa Kirkuk yamesababisha vifo vya takriban watu 42 nchini Iraq Jumamosi(24.08.2014) wakati serikali inachunguza shambulio baya kabisa dhidi ya...
View ArticleBoko Haram yatangaza utawala wa Kiislamu
Kiongozi wa Boko Haram ameanzisha utawala wa Kiislam katika mji wa kaskazini mashariki mwa Nigeria uliotekwa na waasi mapema mwezi huu wakati ikiripotiwa polisi 35 wa Nigeria hawajulikani walipo.
View ArticleAtletico Madrid walipiza kisasi dhidi ya Real Madrid
Atletico Madrid ya Uhispania imepata kiasi kunusa ulipizaji kisasi kutokana na kushindwa katika fainali ya Champions League msimu uliopita dhidi ya Real Madrid. Hivyo wajipiga kifua mjini Madrid
View ArticleIS yaiteka kambi ya jeshi la anga Syria
Kundi linalojiita Dola la Kiislamu-IS limeikamata kambi muhimu ya jeshi la Syria ambayo ilikuwa ngome ya mwisho ya jeshi hilo katika jimbo la al-Raqqa. Naye mwandishi wa habari wa Marekani aliyetekwa...
View ArticleSerikali ya Ufaransa yajiuzulu
Waziri Mkuu wa Ufaransa, Manuel Valls, ametangaza kwamba serikali ya nchi hiyo inajiuzulu. Baraza jipya la mawaziri inatarajiwa kutangazwa Jumanne (26.08.2014). Hatua hii ni pigo kwa rais Francois...
View ArticleSerikali na Renamo waafikiana Msumbiji
Serikali ya Msumbiji na kundi la waasi la Renamo chama kikuu cha upinzani, wametia saini makubaliano ya kumaliza vita vyao vya takriban miaka miwili.
View ArticleUtata sera ya silaha ya Ujerumani
Wahariri wanahoji ikiwa sera ya Ujerumani ya silaha kuelekea maeneo yenye migogoro inakiukwa katika wakati ambapo Umoja wa Ulaya umeyaruhusu mataifa wanachama kulisaidia jeshi la Pashmerga, Iraq.
View ArticleKongo yathibitisha vifo kutokana na Ebola
Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetangaza kuweko na ugonjwa wa Ebola kwenye jimbo la Equateur. Waziri wa afya amesema kwamba watu 2 miongoni mwa 13 waliofariki wiki iliyopita wamekutwa na...
View ArticleDortmund, Schalke zaanza msimu kwa kichapo
Goli la haraka kuliko yote yaliyowahi kufungwa katika sekunde za mwanzo za mchezo yamezamisha makamu Borussia Dortmund katika mchezo wao wa kwanza katika msimu mpya Bundesliga
View ArticleWanajeshi wa Nigeria wakimbilia Cameroon
Kundi la Boko Haram hapo jana limeuvamia mji mmoja wa mpakani kaskazini mashariki mwa Nigeria, na kuwalazimu wakaazi na wanajeshi kutoroka na kuingia katika nchi jirani ya Cameroon wakiwemo wanajeshi
View ArticleUAE yashambulia wanamgambo Libya
Maafisa wa Marekani wamsema ndege za kivita za Umoja wa Falme za Kiarabu zimefanya mashambulizi ya siri ambayo hayakutarajiwa kuyalenga maeneo ya wanamgambo wa Kiislamu nchini Libya.
View Article