Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Browsing all 28159 articles
Browse latest View live

Peter Mutharika: Kutoka mshtakiwa wa uhaini hadi rais

Peter Mutharika, ambaye alitangazwa mshindi wa uchaguzi wa Malawi siku ya Ijumaa, anajiandaa kuchukuwa hatamu ya uongozi wa taifa hilo maskini la kusini mwa Afrika chini ya kivuli cha mashtaka ya uhaini.

View Article


Löw achagua kikosi chake cha mwisho

Kocha wa Ujerumani Joachim Löw amekitaja kikosi chake cha mwisho. Marcel Schmelzer, Kevin Volland na Shkodran Mustafi wote hawatasafiri kushiriki katika dimba la Kombe la Dunia nchini Brazil.

View Article


Ujerumani yawasili Brazil tayari kumenyana

Ujerumani ni miongoni mwa timu nyingi zilizowasili nchini Brazil kusubiri kuanza kwa dimba la Kombe la Dunia litakalofunguliwa rasmi Alhamisi Juni 12 hadi Julai 13

View Article

Bunge la Israel lamchagua Rais mpya

Bunge la Israel leo linamchagua rais wa kumi wa kuliongoza taifa hilo atakayechukua wadhifa huo kutoka kwa Shimon Peres ambaye muda wake wa kuhudumu unakamilika mwezi ujao

View Article

Blatter awashambulia wakosoaji wa FIFA

Viongozi wa soka ulimwenguni wanakutana mjini Sao Paulo -Brazil wakati kukiwa na hofu kuhusiana na kitisho cha mgomo wa wafanyakazi wa treni za chini ya ardhi kuvuruga sherehe za Kombe la Dunia

View Article


Wapiganaji waukamata mji wa Mosul

Polisi na wanajeshi nchini Iraq wamevikimbia vituo vyao katika mji wa kaskazini wa Mosul baada ya wapiganaji kukamata makao makuu ya serikali ya jimbo hilo pamoja na majengo mengine muhimu.

View Article

Maoni ya wahariri juu ya mashambulio ya Karachi

Pamoja na masuala mengine wahariri leo wanatoa maoni juu ya mashambulio ya kigaidi yaliyofanyika kwenye uwanja wa ndege nchini Pakistan, Rais mpya wa Israel na juu ya Juncker

View Article

Wanamgambo washambulia kituo cha usalama Pakistan

Wapiganaji wa Taliban wamekishambulia kituo cha usalama nje ya uwanja wa ndege wa Karachi nchini Pakistan, ikiwa ni siku moja baada ya shambulizi la usiku kucha lilofanywa na wanamgambo hao kuwaua watu 37

View Article


Ukraine kuweka eneo la usalama kwa raia

Rais mpya wa Ukraine Poroshenko amewaamuru maafisa wa usalama kuweka eneo salama ili kuwawezesha raia kupita kutoka majimbo ya mashariki yaliyokumbwa na mapigano dhidi ya wanaotaka kujitenga wanaoiunga...

View Article


Israel yapata rais mpya

Reuven Rivlin amechaguliwa na bunge la Israel 10.06.2014 kuwa rais mpya wa taifa hilo la kiyahudi akichukuwa mahala panapoachwa na Shimon Peres

View Article

Viongozi wa Sudan Kusini kuunda serikali ya mpito

Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir na kiongozi wa waasi Riek Machar wamekubaliana kuunda serikali ya mpito katika kipindi cha siku sitini zijazo ili kujaribu kumaliza vita vya wenyewe kwa wenyewe

View Article

Ziara ya Naibu Spika Claudia Roth nchini DRC

Naibu spika wa bunge la Ujerumani Bi Claudia Roth, yuko ziarani Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

View Article

Urusi na Ukraine zajadili bei ya gesi

Mazungumzo kati ya Urusi na Ukraine kuhusu bei ya gesi yameanza tena mjini Brussels, huku Ukraine imekataa punguzo lililotangazwa na Urusi. Waziri mkuu wa Ukraine Arseny Yatsenyuk amesema wanataka...

View Article


Müller, Lahm wasaini mikataba mipya na Bayern

Thomas Müller na Philipp Lahm wamesaini mikataba mipya itakayowaweka katikam klabu ya Bayern Munich hadi mwaka wa 2019 na 2018. Wachezaji hao wako Brazil katika kikosi cha Ujerumani cha Kombe la Dunia.

View Article

Brazil iko tayari kwa Kombe la Dunia

Rais Dilma Rousseff amewaomba Wabrazil kuungana pamoja kwa ajili ya Kombe la Dunia la 2014, akisema taifa liko tayari. Migomo na maandamano kuhusiana na gharama za maandalizi vinatishia tamasha hilo

View Article


Wanamgambo nchini Iraq wauteka mji wa Tikrit

Wanamgambo wa kundi lenye mafungamano na mtandao wa kigaidi wa Al Qaeda nchini Iraq wameuteka mji wa Tikrit, mji wa pili kuudhibiti katika kipindi cha wiki moja na wanaripotiwa kuusogelea mji mkuu Baghdad

View Article

Mapigano kati ya majeshi ya DRC na Rwanda

Mapigano makali yameripotiwa kati ya mpaka wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo na Rwanda hii leo. Mapigano hayo yalioanza jana kati ya wanajeshi wa nchi hizo mbili yamesemekana kusababisha mauaji ya...

View Article


Kombe la Dunia kuanza leo nchini Brazil

Baada ya matatizo ya kuchelewa kukamilika kwa ujenzi wa viwanja, na kutumia bajeti ya kupindukia katika maandalizi, hatimaye hii leo mashindano ya kombe la dunia la soka yanaanza kutifua vumbi nchini...

View Article

Maoni ya wahariri juu ya vita vya nchini Iraq

Wahariri wa magazeti wanatoa maoni juu ya vita vya nchini Iraq, silaha zinazouzwa nje na Ujerumani na pia wanatoa maoni juu ya mpango wa Ujerumani wa kuwapokea wakimbizi zaidi wa Syria

View Article

Burundi: Uhasama wa kisiasa

Vijana wa Burundi wanazungumzia juu ya hali ya vijana kutovumiliana kisiasa baada ya kujikuta katika vyama tofauti vya kisiasa.

View Article
Browsing all 28159 articles
Browse latest View live