Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Browsing all 28146 articles
Browse latest View live
↧

Uganda: Rais Museveni kuwania tena urais mwaka 2016

Wabunge wa chama tawala nchini Uganda kwa kauli moja wanamtaka kiongozi wa chama chao ambaye pia ni rais wa nchi hiyo Rais Yoweri Kaguta Museveni kuwania urais tena kwenye uchaguzi mkuu utakaofanyika...

View Article


Bayern Munich bado kiboko katika Bundesliga

Bayern Munich bado haina mshindani katika Bundesliga,Hamburg yatumbukia zaidi katika mzozo na hatari ya kushuka daraja, wakati VFB Stuttgart nayo haijaonja ushindi katika michezo mitano ya ligi mfululizo.

View Article


Wasemavyo wahariri wa Ujerumani Jumanne hii

Wahariri wa magazeti ya Ujerumani wamezungumzia juu ya kashfa ya kodi inayomkabili Meya Wowereit wa mji wa Berlin, ushiriki zaidi wa Ujerumani nchini Somalia, na mwaka mmoja tangu kujiuzulu kwa papa...

View Article

Mafuriko yaleta maafa nchini Burundi

Kazi ya uokozi wa miili ya watu waliokufa kufuatia mvua ukubwa iliyoambatana na upepo mkali usiku wa kuamkia jana inaendelea nchini Burundi.

View Article

China na Taiwan zakutana rasmi kwa mara ya kwanza

China na Taiwan leo(11.02.2014) zimefanya mazungumzo yao ya kwanza ya kiserikali tangu nchi hizo kutengana miaka 65 iliyopita baada ya vita vya wenyewe kwa wenyewe ikiwa ni hatua muhimu ya kihistoria...

View Article


Upinzani Syria kususia mazungumzo ?

Ujumbe wa upinzani wa Syria ulioko Geneva kwa duru ya pili ya mazungumzo ya amani umeonya kwamba haitoshiriki duru ya tatu ya mazungumzo hayo iwapo hakuna hatua yoyote ya maendeleo itakayofikiwa.

View Article

Uhuru wa vyombo vya habari Afrika mashakani: Ripoti

Ripoti ya Shirika la maripota wasio na mpaka mwaka 2014 linasema migogoro barani Afrika imezidisha hatari kwa uhuru wa kujieleza, likisema hali hiyo imedhihirika bayana nchini Mali na katika Jamhuri ya...

View Article

Mazungumzo ya Sudan Kusini hatihati

Juhudi za kuanzisha tena mazungumzo yenye lengo la kuumaliza mgogoro na mkwamo wa kisiasa nchini Sudan Kusini zinaonekena kugonga mwamba, wakati pande mbili zikizidi kushutumiana.

View Article


Mauaji ya kuangamiza jamii Afrika ya Kati

Mauaji ya kutokomeza jamii dhidi ya raia wa Kiislamu yanafanyika nchini Afrika ya Kati ambapo Shirika la Haki za Binaadamu la Amnesty International linasema wanajeshi wa kulinda amani wa kimataifa...

View Article


Somalia yavunja masharti ya vikwazo vya silaha

Umoja wa Mataifa umesema hivi leo serikali ya Somalia inavunja masharti iliyopewa na Baraza la Usalama katika kulegezwa kwa marufuku ya silaha, na kwamba silaha zinazoingia huko zinaangukia mikononi...

View Article

Maoni ya wahariri juu ya Spika wa Bunge la Ulaya Martin Schulz

Wahariri wanazungumzia juu ya hotuba ya Spika wa Bunge la Ulaya Martin Schulz iliyotifua zogo nchini Israel.Pia wanatoa maoni juu ya kuupa utawala wa Obama ruhusa ya kuendelea kukopa

View Article

Ribery harudi dimbani hadi Machi

Winga wa Bayern Munich, Franck Ribery, hataweza kurejea uwanjani hadi angalau mwezi Machi akiwa anauguza kidonda chake baada ya kufanyiwa operesheni ya makalio.

View Article

Wanajeshi wa Ulaya kutua CAR mwezi Machi

Umoja wa Ulaya umetangaza kuwa kikosi chake kitakachopelekwa katika Jamhuri ya Afrika ya Kati kitafanya hima kuunda ukanda salama katika mji mkuu wa nchi hiyo, Bangui, ambako raia wataweza kukimbilia...

View Article


Mazungumzo ya Amani ya Sudan Addis Abeba

Serikali ya Sudan na waasi wameanza mazungumzo ya amani mjini Addis Ababa huku Umoja wa mataifa ukitoa wito wa kuwekwa chini silaha ili kumaliza miaka mitatu ya mapigano katika maeneo ya Kordofan na...

View Article

Kerry akutana na Rais Xi wa China

Waziri wa mambo ya nje wa Marekani John Kerry amekutana na Rais Xi Jinping wa China Ijumaa(14.02.2014)wakati kukiwa na mvutano wa maeneo ya bahari kati ya washirika wake Japani na Ufilipino dhidi ya...

View Article


Muswaada wa kupinga ushoga kusainiwa Uganda

Rais Yoweri Museveni wa Uganda amesema atasaini muswaada tata unaopinga ushoga na kuwa sheria kamili.

View Article

Wanamgambo wanyang'anywa silaha CAR

Wanajeshi wa kulinda amani wa Kimataifa walioko Jamhuri ya Afrika ya Kati wameingia nyumba hadi nyumba Bangui, kuwanyang'anya silaha wanamgambo wanaoshutumiwa kutekeleza visa vya uhalifu dhidi ya...

View Article


Umoja wa Ulaya waiondolea vikwazo Zimbabwe

Umoja wa Ulaya umeondosha sehemu kubwa ya vikwazo dhidi ya Zimbabwe ukiacha vile vinavyomlenga Rais Robert Mugabe, uamuzi unaosadifiana na Mugabe kuwaachia huru wafungwa 2,000 wengi wao wanawake na...

View Article

Wasemavyo wahariri wa Ujerumani

Jumanne hii wahariri wanazungumzia kadhia ya mwanasiasa wa chama cha SPD Sebastian Edathy na mgogoro unaofukuta serikalini, sakata la Aksofu mkuu wa jimbo la Limburg na mgogoro wa wa kisiasa nchini...

View Article

Mazungumzo ya nyuklia ya Iran yaingia ngazi mpya

Mazungumzo ya nyuklia kati ya Iran na mataifa yenye nguvu duniani Jumanne (18.02.2014)yanaingia katika ngazi mpya ya kuwa na makubaliano yatakayo ondowa milele hofu kuhusu tamaa za Iran za kutengeneza...

View Article
Browsing all 28146 articles
Browse latest View live