Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Browsing all 28159 articles
Browse latest View live
↧

Pande zinazopingana Syria kukutana , mazungumzo ya amani huenda yasifanyike

Baada ya siku kadha za uchelewesho na kushutumiana, pande zinazopigana Syria zitafanya mkutano wao wa kwanza leo Jumamosi (25.01.2014) kuanza mazungumzo ya kumaliza mzozo huo unaokaribia kutimiza miaka...

View Article


Mahasimu wa Syria wakutana ana kwa ana

Serikali ya Syria na upinzani hatimaye wamekutana ana kwa ana (Jumamosi 25.01.214) wakati mazungumzo magumu ya amani yanayodhaminiwa na Umoja wa Mataifa yakisonga mbele mjini Geneva.

View Article


Mazungumzo ya ana kwa ana yameanza

Mahasimu wa vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Syria wamekutana kwa mara yakwanza ana kwa ana Jumamosi(25.01.2014)wakianzisha mazungumzo ya kumaliza karibu miaka mitatu ya mzozo uliosababisha watu...

View Article

Pendekezo la rais ni sumu

Polisi imepambana na waandamanaji waliolizingira jengo moja mjini Kiev Jumapili(26.01.2014) wakati serikali ya Ukraine ikiwa mashakani baada ya Rais Viktor Yanukovych kukubali kuwapa viongozi wa...

View Article

Mazungumzo ya Syria yaingia awamu muhimu

Mkutano wa kusaka amani ya Syria unaofanyika nchini Uswisi unatazamiwa kuanza hatua yake muhimu hivi leo huku mazungumzo yakiingia kwenye masuala ya kiasisa na wapinzani wakishikiza kuondoka kwa Rais...

View Article


Machafuko yaendelea Jamhuri ya Afrika ya Kati licha ya kuwepo serikali mpya

Hali katika Jamhuri ya Afrika kati bado ni tete.Kiasi ya watu wanane wameuawa katika mji mkuu Bangui na maafisa wakuu wa kundi la waasi la Seleka wameripotiwa kuutoroka mji huo

View Article

Leverkusen, Dortmund zaona vimulimuli

Ilikuwa ni wikendi yenye kisirani kwa mahasimu wa viongozi wa ligi Ujerumani Bundesliga, baada ya Bayer Leverkusen na Borussia Dortmund kushindwa kupunguza pengo baina yao na viongozi Bayern

View Article

Jeshi lamuidhinisha Sisi kuwania urais

Baraza Kuu la Kijeshi nchini Misri Jumatatu (27.01.2014) limemuidhinisha Jemedari Mkuu Abdel Fattah al- Sisi kuwania urais wa nchi hiyo.

View Article


Watanzania wakabiliwa na upungufu mkubwa wa maji

Watanzania wanalaani hali ya hewa na kuongezeka kwa joto wakati usambazaji wa maji mijini ukidorora na huku mabishano yakizidi kuwa makali baina ya wakulima na wafugaji kuhusu matumizi ya vijito katika...

View Article


Bashir ataka ufufuo wa kisiasa, kiuchumi Sudan

Rais wa Sudan Omar Hassan Al-Bashir ametoa wito wa kuwepo na mwanzo mpya wa kisiasa na kiuchumi katika taifa lake lililoathiriwa na vita, umaskini na machafuko ya kisiasa.

View Article

Uhuru wa kujieleza na kukusanyika Rwanda wamulikwa

Rekodi ya Rwanda ya kuwafungulia mashitaka wanasiasa wanaomkashifu Rais wa nchi hiyo Paul Kagame inaogofya na kuwatia mzizimo wapinzani na wanaharakati wa haki za binadaamu nchini humo

View Article

Yanukovych akubali kujizulu kwa waziri mkuu

Rais Viktor Yanuckovych amekubali ombi la kujiuzulu kwa Waziri Mkuu Mykola Azarov, masaa kadhaa baada ya Waziri Mkuu huyo kutangaza kujiuzulu kwa kile alichokiita kuwezesha mchakato wa kupatikana...

View Article

Mazungumzo ya Mashariki ya Kati kushindwa?

Kuna wasiwasi kwamba Israel na Palestina zinajitayarisha kushindwa kwenye mazungumzo ya sasa yanayosimamiwa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, John Kerry, na hivyo kukabiliwa na hali ngumu zaidi.

View Article


Obama aapa kuizunguka Congress

Rais wa Marekani Barack Obama ameapa kulizunguka bunge na kuchukua hatua kivyake ili kuwaimarisha watu wa tabaka la kati, akionyesha kukatishwa kwake tamaa na kasi ndogo ya kutunga sheria kwa upande wa...

View Article

Wanajeshi wa umoja wa ulaya kupelekwa Bangui

Baraza la usalama la umoja wa mataifa limependekeza kuwepo idadi ya wanajeshi zaidi ya elfu kumi katika Jamhuri ya afrika ya Kati kwa ajili ya kulinda amani.

View Article


Ukraine yatakiwa kuelekeza mustakabali wao

Wahariri wameangazia zaidi hii leo kuhusu hali nchini Ukraine , mkutano kati ya Umoja wa Ulaya na Urusi pamoja na mipango ya mafao ya uzee ya serikali ya mseto mjini Berlin.

View Article

Mkutano wa viongozi wakuu wa AU kuanza

Migogoro na hali mbaya za kibinadamu yakiwa ndiyo masuala yanayotarajiwa kukigubika kikao hicho badala ya masuala ya ukuaji wa kiuchumi na maendeleo barani humo.Jamhuri ya Afrika ya Kati na Sudan...

View Article


CAR yataka wanajeshi zaidi wa kulinda amani

Hatua ya baraza la usalama la Umoja wa Mataifa kuidhinisha wanajeshi wa Umoja wa Ulaya kwenda Jamhuri ya Afrika ya Kati imepokelwa vyema, lakini waangalizi wanasema idadi yao haitoshelezi kuhakikisha...

View Article

Ujerumani injini ya Ulaya, asema Merkel

Wahariri wa magazeti ya Ujerumani wameangazia zaidi leo (30.01.2014) katika hotuba aliyoitoa kansela Angela Merkel bungeni jana, pamoja na hotuba ya rais Barack Obama kuhusu hali ya taifa la Marekani.

View Article

Steinmeier ataka Ujerumani ijihusishe zaidi kupambana na mizozo

Ujerumani ni kubwa mno, kuweza kuzungumzia sera za dunia pekee, anasema waziri wa mambo ya kigeni wa Ujerumani Frank-Walter Steinmeier. Kuna umuhimu wa kuwa na msimamo maalum, licha ya kuwa dunia...

View Article
Browsing all 28159 articles
Browse latest View live